Papa Francis kuanza ziara nchini Sri Lanka.
Papa Francis amewasili nchini Sri Lanka ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani hasimu za kidini nchini humo.
Pia Papa Francis akiwa nchini humo aanatarajiwa kuhimiza ala la maridhiano wakazi walio wengi wa visiwa vya Sinhalese na wale wachache wa kisiwa cha Tamil.
o que fazer viagra para homensHii ni ziara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea taifa hilo tangu ziara ya kwanza ya Papa ya mwaka 2009.
Rais wa sasa wa Sri Lanka...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Papa Francis ziaran Sri Lanka
9 years ago
Habarileo26 Nov
Papa Francis awasili Kenya kuanza ziara
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amewasili nchini Kenya jana jioni kuanza ziara ya kihistoria ya siku sita barani Afrika. Akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini hapa, alipokewa na mwenyeji wake, Rais Uhuru Kenyatta aliyefuatana na mkewe Margaret pamoja na Naibu Rais, William Ruto pamoja na viongozi mbalimbali wa Kanisa Katoliki nchini humo.
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
5 years ago
BBCSwahili22 Jun
Waislamu nchini Sri Lanka wamelaumu kushinikizwa kuwachoma moto waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis awasili nchini Uganda
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mvua ya Samaki Sri Lanka
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Uchaguzi wa Sri Lanka wafanyika leo