Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waislamu nchini Sri Lanka wamelaumu kushinikizwa kuwachoma moto waliopoteza maisha kutokana na virusi vya corona

Waislamu walio wachache nchini Sri Lanka wamelaumu mamlaka kuwashinikiza kuwachoma moto waislamu waliopoteza maisha kwa janga la corona. Kwa mujibu wa dini ya kiislamu jambo hilo haliruhusiwi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?

Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je kusukutua mdomo na maji ya moto ni kinga ya virusi vya corona?

Kumekuwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni kuwa kusukutua mdomo kunazuia virusi vya corona je hilo ni kweli ?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Bosi wa Amazon azoa bilioni 24 kutokana na mlipuko wa virusi

Matajiri 500 duniani wamepoteza kiasi cha dola bilioni 553 kwa mwaka huu mpaka hivi sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi mlipuko wa corona unavyochochea chuki dhidi ya Waislamu India

Jinsi mkutano wa kidini ulivyozua taharuki ya maambukizi ya virusi vya corona India.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mama yake meneja wa Manchester City Pep Gardiola afariki kutokana na corona

Mama yake Meneja wa timu ya Manchester City Pep Guardiola, amefariki dunia mjini Barcelona akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha

Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .

 

10 years ago

StarTV

Papa Francis kuanza ziara nchini Sri Lanka.

Papa Francis amewasili nchini Sri Lanka ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani hasimu za kidini nchini humo.

Pia Papa Francis akiwa nchini humo aanatarajiwa kuhimiza ala la maridhiano wakazi walio wengi wa visiwa vya Sinhalese na wale wachache wa kisiwa cha Tamil.

o que fazer viagra para homens

Hii ni ziara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea taifa hilo tangu ziara ya kwanza ya Papa ya mwaka 2009.

Rais wa sasa wa Sri Lanka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mbinu ya kuwalaza wagonjwa wa corona kifudifudi inavyookoa maisha yao

Kwanini baadhi ya wagonjwa wanaougua Covid-19 hulazwa kifudifudi?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani