Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona:Bosi wa Amazon azoa bilioni 24 kutokana na mlipuko wa virusi

Matajiri 500 duniani wamepoteza kiasi cha dola bilioni 553 kwa mwaka huu mpaka hivi sasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

BOSI WA AMAZON AZOA BILIONI 24 KUTOKANA NA MLIPUKO WA CORONA

Amazon founder and chief executive Jeff BezosHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESMwanzilishi wa kampuni ya Amazon ameshuhudia utajiri wake ukichupa kwa kiasi cha dola bilioni 24 (sawa na pauni bilioni 19) kutokana na uhitaji mkubwa wa manunuzi kwa njia ya mtandao.Jeff Bezos sasa ana utajiri wa dola bilioni 138, kwa mujibu wa orodha ya mabilionea inayojumuisha na jarida maarufu la biashara la Bloomberg, akisalia katika nafasi yake kuwa ni mtu tajiri zaidi duniani.Amazon imepata faida zaidi kutokana na manunuzi yaliyofanywa na watu ambao...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: sababu za kuwepo kwa mlipuko wa virusi kwenye viwanda vya nyama

Mamia ya wafanyakazi wamepatikana na virusi vya corona katika makapuni ya kutengeneza nyama na machinjioni

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona : Rais Ramaphosa asema mlipuko wa virusi utakuwa mbaya zaidi

Cyril Ramaphosa ametangaza kulegeza masharti ya kukaa nyumbani, na uuzaji wa vilevi unatarajiwa kuanza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?

Nchini Tanzania, maelfu wa wanafunzi wa vyuo na wale wa sekondari wanaomaliza kidato cha sita hii leo wameanza rasmi masomo yao baada ya kuwepo katika likizo ya ghafla kwa muda wa miezi miwili iliyosababishwa na kutokea kwa janga la virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi mlipuko wa corona unavyochochea chuki dhidi ya Waislamu India

Jinsi mkutano wa kidini ulivyozua taharuki ya maambukizi ya virusi vya corona India.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha

Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mama yake meneja wa Manchester City Pep Gardiola afariki kutokana na corona

Mama yake Meneja wa timu ya Manchester City Pep Guardiola, amefariki dunia mjini Barcelona akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani