Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BOSI WA AMAZON AZOA BILIONI 24 KUTOKANA NA MLIPUKO WA CORONA

Amazon founder and chief executive Jeff BezosHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESMwanzilishi wa kampuni ya Amazon ameshuhudia utajiri wake ukichupa kwa kiasi cha dola bilioni 24 (sawa na pauni bilioni 19) kutokana na uhitaji mkubwa wa manunuzi kwa njia ya mtandao.Jeff Bezos sasa ana utajiri wa dola bilioni 138, kwa mujibu wa orodha ya mabilionea inayojumuisha na jarida maarufu la biashara la Bloomberg, akisalia katika nafasi yake kuwa ni mtu tajiri zaidi duniani.Amazon imepata faida zaidi kutokana na manunuzi yaliyofanywa na watu ambao...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Bosi wa Amazon azoa bilioni 24 kutokana na mlipuko wa virusi

Matajiri 500 duniani wamepoteza kiasi cha dola bilioni 553 kwa mwaka huu mpaka hivi sasa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maelfu wahamisha kutokana na mlipuko wa volkeno-Java

Watu 200 wamehamishwa kutoka makwao kisiwani Java Nchini Indonesia, baada ya milipuko miwili ya volkeno kuutikisa mlima wa Kelud

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je dunia imepata funzo gani kutokana na mlipuko wa Ebola DRC?

Ni miezi miwili imepita bila kuripotiwa kwa kisa cha Ebola katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Uhamiaji wa nchini Marekani kusitishwa kutokana na janga la corona, asema Trump

Marekani ina jumla ya wagonjwa wa corona 782,159 na vifo 41,816 kutokana na virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi ya corona: Afrika huenda ikawa kitovu kipya cha mlipuko wa corona - yaonya WHO

Kumekuwa na takriban vifo 1,000 na zaidi ya maambukizi 18,000 barani Afrika kufikia sasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi mlipuko wa corona unavyochochea chuki dhidi ya Waislamu India

Jinsi mkutano wa kidini ulivyozua taharuki ya maambukizi ya virusi vya corona India.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Eric Yuan, bilionea aliyetajirika kutokana na corona na kwa nini aliomba msamaha

Wiki chache zilizopita usingemjua . Ama pengine sio sasa, lakini kulikuwa na uwezekano kwamba wakati wa karantini uliweza kuwasiliana na rafiki zako kwa sababu yake .

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Mama yake meneja wa Manchester City Pep Gardiola afariki kutokana na corona

Mama yake Meneja wa timu ya Manchester City Pep Guardiola, amefariki dunia mjini Barcelona akiwa na umri wa miaka 82 baada ya kupata maambukizi ya virusi vya corona

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wizara ya fedha yatuma dola bilioni 1.4 za corona kwa watu waliokufa

Wakaguzi wa serikali wabaini pesa za mpango wa kukabiliana na janga la corona zilizotumwa kwa waliokufa kimakosa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani