BALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA
Na Sylvester Raphael Balozi wa Vatican na Mwakilishi wa Papa nchini Tanzania, Francisco Montecillo Padilla atembelea mkoa wa Kagera katika ziara ya kujione shughuli mbalimbali za Kanisa Katoliki mkoani zinavyotekelezwa pia na kutoa Baraka za pamoja kwa wakristo wa kanisa hilo. Balozi Padilla akiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa Kagera alipowasili kumsalimia aliishukuru serikali ya mkoa wa Kagera kwa kuwaunganisha wananchi wa Kagera bila kujali imani zao ambapo wanafanya shughuli zao kila mmoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo28 Jan
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana awasili Mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa skafu mara baada ya kuwasili mkoani Iringa kuanza ziara ya siku sita ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na kukagua uhai wa chama. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi, Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na katikati ni Katibu...
10 years ago
GPLBALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA AFANYA ZIARA MKOANI KAGERA KUKAGUA ENEO LA KUJENGA CHUO CHA KISASA CHA UFUNDI (VETA) NA KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA MKOA
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Papa kufanya ziara ya siku moja Bosnia
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s72-c/unnamed+(30).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWASILI JAPAN JIONI HII KUANZA ZIARA YA SIKU SITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-OUWEf_w3yxA/U3jyPoQCDKI/AAAAAAAFjjE/KidRCGVDZIs/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EzQNoDEKiCU/U3jyP09PayI/AAAAAAAFjjI/X5dsNbNQ_hU/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI IGUNGA MKOANI TABORA JIONI LEO,KUANZA ZIARA YA SIKU 10 MKOANI HUMO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-yJMoWlswT04/U2uqLhgkxQI/AAAAAAACghM/5BAXjEtr1DA/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jwzjC0jcNE0/U2uqMu4fbNI/AAAAAAACghQ/DLBJVfNN8MA/s1600/10.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
Kinana amaliza ziara ya siku 10 mkoani Kagera
![](http://2.bp.blogspot.com/-kmNeYoPkVEs/VX3hu3gX51I/AAAAAAAAePU/3hWn4LbHioA/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Buharamulo mara baada ya kuwasili kwenye kata ya Nyabugombe ,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://2.bp.blogspot.com/-6pXFq1zf63s/VX3jhy1Hx0I/AAAAAAAAeT0/W7XWb3R1O9Q/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya wilaya ya Biharamulo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OMlP6UbiQ84/VX3hunnZWII/AAAAAAAAePQ/C5kmH_GPcu0/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Wazee wa kata ya Nyakahura,wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.
![](http://1.bp.blogspot.com/-dbspODdP9i8/VX3htMyuRDI/AAAAAAAAePI/KhUlKyrH9gw/s640/11.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea...
5 years ago
MichuziMASENETA SITA KUTOKA NCHINI UFARANSA WAPO NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU NANE
Na Karama Kenyunko-Michuzi Blog.
MASENETA sita kutoka nchini Ufaransa wako nchini Tanzania kwa ziara za kikazi ambapo wanatarajia kutembelea mikoa mbalimbali pamoja na visiwani Zanzibar kujionea shughuli za maendeleo zinazofanywa na wadau wanaonufaika na misaada ya Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD).
Ziara hiyo itafanyika kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha na kwamba ni matokeo ya ziara iliyofanywa Septemba mwaka jana na marafiki wa Ufaransa na Tanzania na kuazimia...