Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
Serikali ya Kenya inatarajia kukuza uchumi kwa takriban kiasi cha bilioni mbili katika kutokana na ziara ya Papa Francis inayofanyika leo nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Papa Francis kutua Kenya leo
NAIROBI, Kenya
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.
Wakati huohuo, Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.
Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.
Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa na baadaye Jamhuri ya Afrika ya Kati...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kishindo cha Papa Francis Kenya
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Papa Francis kuweka historia leo
10 years ago
BBCSwahili25 May
Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
MichuziFM ACADEMIA KUTUA ARUSHA KWA KISHINDO KUZINDUA ALBAMU YAO MPYA SEPTEMBER 5 VIWANJA VYA UKUMBI WA TRIPLE A
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika