Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo

Serikali ya Kenya inatarajia kukuza uchumi kwa takriban kiasi cha bilioni mbili  katika kutokana na ziara ya Papa Francis inayofanyika leo nchini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Papa Francis kutua Kenya leo

PopeFrancis-8NAIROBI, Kenya

KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.

Wakati huohuo,  Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.

Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni  ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.

Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa  na baadaye  Jamhuri ya Afrika ya Kati...

 

9 years ago

Mwananchi

Kishindo cha Papa Francis Kenya

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis aliyetua Nairobi jana saa 10:45 jioni, leo ‘atajichanganya’ katika moja ya majukumu muhimu wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchini Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kuweka historia leo

Papa Francis anatarajiwa kuweka historia katika kanisa katoliki atakapowatawaza mume na mke kuwa watakatifu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amesema kuwa hajatazama runinga kwa miaka 25 wala hatumii mtandao wa intanet

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis

Hizi hapa ni picha zinazosimulia kwa ufupi maisha ya Papa Francis ambaye ndiye kiongozi wa kwanza wa Kanisa Katoliki kutoka Amerika na pia mfuasi wa kundi Wajesuit.

 

5 years ago

BBCSwahili

Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre

Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

10 years ago

Michuzi

FM ACADEMIA KUTUA ARUSHA KWA KISHINDO KUZINDUA ALBAMU YAO MPYA SEPTEMBER 5 VIWANJA VYA UKUMBI WA TRIPLE A

 wasanii wa bendi ya fm Academia wakiwa jukwaani wanaimba wapili kulia ni Rais wa bendi Nyoshi Rapa wa bendi  ya Fm Academia akiwa anashambulia jukwaa wakati wa shoo.wanenguaji wa bendi ya Fm wakiwa kazini  wote hawa watakuwepo katika  uzinduzi huu wa Albamu ya Chuki ya nini usikose ni balaaFm  Academia baada ya kukaa kwa muda wa miaka 4 (minne) yaani kuanzia mwaka 2010 mpaka 2013 sasa wanatarajia kuzindua rasmi  album mpya kabisa inayojulikana kwa jina la Chuki ya nini ndani ya jiji la...

 

9 years ago

BBCSwahili

MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis anaanza ziara yake ya kwanza Afrika leo na amepangiwa kutua uwanja wa ndege ya JKIA, Nairobi baadaye leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani