Papa Francis kuweka historia leo
Papa Francis anatarajiwa kuweka historia katika kanisa katoliki atakapowatawaza mume na mke kuwa watakatifu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Nov
Papa Francis kutua Kenya leo
NAIROBI, Kenya
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, anatarajiwa kuwasili Kenya leo jioni kwa ziara ya siku tatu.
Wakati huohuo, Serikali ya Kenya imetangaza kesho kuwa mapumziko maalumu kwa ibada itakayoongozwa na kiongozi huyo.
Papa anatarajiwa kugusa ardhi ya Kenya saa 11 jioni ndege yake itakapotua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairoibi.
Atakuwa Kenya kwa ziara ya siku tatu kabla ya kwenda Uganda keshokutwa na baadaye Jamhuri ya Afrika ya Kati...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
11 years ago
GPL08 Aug
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7oxPj1gJLky7uC2l2hzTJ2tb2KIstsOEMelOOlHRxoBqDXk-z*fkmlUduZQLlYp9*eDGlwhr-w*33*RLSZMABinyDUeqI4E/Bella.jpg?width=650)
USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE BELLA KUWEKA HISTORIA LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
PAPA FRANCIS APIMWA CONONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s640/1.webp)
Papa Francis alipimwa virusi hivyo baada ya mmoja wa wachungaji anayeishi katika katika makazi yake kugundulika kuwa na corona.
Vyombo vya habari nchini Italia viliripoti kuwa mchungaji huyo ambaye ni ofisa wa sekretarieti ya jimbo aligundulika kuwa na virusi vya corona na kuzua hofu kuwa huenda Papa Francis naye ameambukizwa.
Kwa mujibu wa tovuti rasmi ya Vatican,...
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee