Papa Francis na uongozi wa kipekee
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki, Papa Francis ametimiza mwaka mmoja tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Papa Wemba: Karibu Music Festival ni tamasha la kipekee
Na Hassan Bumbuli
TAMASHA la Karibu Music Festival lililomalizika hivi karibuni mjini Bagamoyo limeacha kumbukumbu ya mambo mengi kwa wapenzi wa sanaa ya muziki hapa nchini. Licha ya kwamba ni tamasha changa, lakini hakuna mtu anayeweza kufirikia kwamba ilikuwa ni mara ya pili kwa tamasha hilo kufanyika kutokana na jinsi lilivyoandaliwa kwa ufanisi mkubwa.
Mbali na maandalizi mazuri, lakini ubora wa kazi za sanaa zilizoonyeshwa jukwaani na wanamuziki mbalimbali ni sehemu ya mambo...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Obama kukutana na Papa Francis
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Papa Francis kumfufua Nyerere
*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda
NA MWANDISHI WETU
ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.
Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.
Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
PAPA FRANCIS APIMWA CONONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s640/1.webp)
Papa Francis alipimwa virusi hivyo baada ya mmoja wa wachungaji anayeishi katika katika makazi yake kugundulika kuwa na corona.
Vyombo vya habari nchini Italia viliripoti kuwa mchungaji huyo ambaye ni ofisa wa sekretarieti ya jimbo aligundulika kuwa na virusi vya corona na kuzua hofu kuwa huenda Papa Francis naye ameambukizwa.
Kwa mujibu wa tovuti rasmi ya Vatican,...
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Papa Francis atoa Mpya
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia