Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Pengo atofautiana na maaskofu
10 years ago
BBCSwahili25 May
Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika
9 years ago
Habarileo23 Nov
Maaskofu watatu nchini kuwakilisha ziara ya Papa
MAASKOFU watatu wa Kanisa Katoliki nchini wanatarajiwa kuiwakilisha Tanzania katika ibada ya misa maalumu, inayotarajiwa kufanyika jijini Kampala nchini Uganda, katika ziara ya kwanza ya Papa Francis barani Afrika iliyopangwa kufanyika kuanzia Novemba 25 hadi 30, mwaka huu.
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Papa Francis kumfufua Nyerere
*Mama Maria Nyerere atangulia Uganda
NA MWANDISHI WETU
ZIARA ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis nchini Uganda imetajwa kuwa itafufua mchakato wa kumtangaza Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuwa mtakatifu.
Kwa mujibu wa mtandao wa ETN wa nchini Uganda, ziara hiyo ya kitume ya Papa Francis itamfikisha katika eneo la Namugongo ambalo mashahidi wa imani ya dini ya Kikristu walichomwa moto.
Ni katika eneo hilo la Namugongo ambako Hayati Nyerere alitangazwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Papa Francis na uongozi wa kipekee