Pengo atofautiana na maaskofu
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema waumini hawana budi kusoma vizuri na kuelewa Katiba Inayopendekezwa ili wakati ukifika, wafanye uamuzi kwa hiari na utashi wao wakati wa kupiga Kura ya Maoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
10 years ago
Vijimambo15 Mar
‘MAASKOFU HATUNA MAMLAKA YA KUWAAMULIA WAUMINI KUHUSU KATIBA MPYA’ - PENGO
UFUATAO ni ujumbe mfupi wa Muadhama Polycarp Kardinali Pengo alioutoa leo katika Kanisa la St. Joseph jijini Dar es Salaam kuhusiana na waraka wa maaskofu uliotolewa hivi karibuni kwa Wakristo nchini kujiandikisha kikamilifu na kisha kuikataa Katiba Inayopendekezwa wakati wa kura ya maoni kwa vile haikujadiliwa kiuadilifu.
"Maaskofu hatuna mamlaka ya kuwaamulia/kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu katiba, kuwaamulia ni kuwadharau kuwa...
10 years ago
GPL‘MAASKOFU HATUNA MAMLAKA YA KUWAAMULIA WAUMINI KUHUSU KATIBA MPYA’ - PENGO
10 years ago
Dewji Blog17 Mar
Sauti ya Muadhama, Askofu Mkuu Kardinali Pengo akizungumzia kuhusu tamko la Maaskofu juu ya Katiba pendekezwa
Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Kardinali Polycarp Pengo.
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Nape atofautiana na Jaji Warioba Bunge la Katiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCA28BBHns0swsFZHC3T3t8A-DQmpWcRlTRre8zKRth3aNxFw4-FzwgSiKS-UpETn6Y2IFlht85p7JdorqAt6hNA/askofu.jpg)
MAASKOFU WAPATANISHWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pg1AAUh2cSerLPiMAOrbIxeLt*YoMJ-Oo57wYaiiawYKfdl8u4oeHOdQ6I*uO2nOY9ocI4rWSk8Z0elhwHkYnj/mimi.jpg)
MAASKOFU, FREEMASON...
11 years ago
Habarileo![](http://www.habarileo.co.tz/images/mhashamu-Gervas-Nyaisonga.jpg)
Maaskofu wakerwa na wabunge
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Migiro awavaa maaskofu
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rose Migiro amewajibu maaskofu akisema Serikali haiko tayari kuona wananchi wanafundishwa jinsi ya kupiga kura kuhusu Katiba Inayopendekezwa.
Amesema ni muhimu wananchi waachwe waamue kwa utashi wao wenyewe.
Dk. Migiro amesema Serikali inaunga mkono tamko lililotolewa na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kuhusu mustakabali wa Katiba na si makundi ya watu na...