Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amesema kuwa hajatazama runinga kwa miaka 25 wala hatumii mtandao wa intanet
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwa mara ya kwanza ametabiri hatima ya maisha yake duniani akisema kuwa anaamini Mungu anaweza kumpa muda wa miaka miwili au mitatu ya kuishi.
10 years ago
Bongo520 Aug
Papa Francis asema atakufa baada ya miaka miwili au mitatu
Utamaduni wa kuachia madaraka ndani ya kanisa hilo linalotajwa kuwa na waumini wengi duniani uliasisiwa upya mwaka jana na mtangulizi wake, Papa Benedict XVI aliyeng’atuka kutokana na matatizo ya kiafya. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwa mara ya kwanza ametabiri hatima ya maisha yake duniani akisema kuwa anaamini Mungu anaweza kumpa muda wa […]
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis
Hizi hapa ni picha zinazosimulia kwa ufupi maisha ya Papa Francis ambaye ndiye kiongozi wa kwanza wa Kanisa Katoliki kutoka Amerika na pia mfuasi wa kundi Wajesuit.
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
Serikali ya Kenya inatarajia kukuza uchumi kwa takriban kiasi cha bilioni mbili katika kutokana na ziara ya Papa Francis inayofanyika leo nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6Yn8z8hshnSzsmEtFULgSqp7EIBWm7u0rI*VBAzV1JlzKMK0G39aR9ZRgi0dRgkTMKHnbPqQEWFmYuuwHhcmY9P/1.jpg?width=650)
PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU
Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis anaanza ziara yake ya kwanza Afrika leo na amepangiwa kutua uwanja wa ndege ya JKIA, Nairobi baadaye leo.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Papa Francis azungumzia familia
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani ameunga mkono haki ya wazazi kuchagua ukubwa wa familia zao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
PAPA FRANCIS APIMWA CONONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A61dn6C-XI4/Xn1Q8fN9rFI/AAAAAAAC12g/zUrYcW76WXo4KV3FImXqW_3MwXcMwEbfwCLcBGAsYHQ/s640/1.webp)
Papa Francis alipimwa virusi hivyo baada ya mmoja wa wachungaji anayeishi katika katika makazi yake kugundulika kuwa na corona.
Vyombo vya habari nchini Italia viliripoti kuwa mchungaji huyo ambaye ni ofisa wa sekretarieti ya jimbo aligundulika kuwa na virusi vya corona na kuzua hofu kuwa huenda Papa Francis naye ameambukizwa.
Kwa mujibu wa tovuti rasmi ya Vatican,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania