Maaskofu watatu nchini kuwakilisha ziara ya Papa
MAASKOFU watatu wa Kanisa Katoliki nchini wanatarajiwa kuiwakilisha Tanzania katika ibada ya misa maalumu, inayotarajiwa kufanyika jijini Kampala nchini Uganda, katika ziara ya kwanza ya Papa Francis barani Afrika iliyopangwa kufanyika kuanzia Novemba 25 hadi 30, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Jan
Papa Francis kuanza ziara nchini Sri Lanka.
Papa Francis amewasili nchini Sri Lanka ambako anatarajiwa kusisitiza umhimu wa mazungumzo baina ya makundi mbalimbali ya imani hasimu za kidini nchini humo.
Pia Papa Francis akiwa nchini humo aanatarajiwa kuhimiza ala la maridhiano wakazi walio wengi wa visiwa vya Sinhalese na wale wachache wa kisiwa cha Tamil.
o que fazer viagra para homensHii ni ziara ya kwanza kwa Papa Francis kutembelea taifa hilo tangu ziara ya kwanza ya Papa ya mwaka 2009.
Rais wa sasa wa Sri Lanka...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
9 years ago
MichuziBALOZI WA VATICAN NA MWAKILISHI WA PAPA NCHINI TANZANIA AWASILI MKOANI KAGERA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mwanamitindo Jocktan Makeke kuwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya TDWFS nchini Afrka Kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4xzOBOqiTs/VerrmqXm8qI/AAAAAAABU2U/9POjiuinNkk/s640/10920906_648407821952879_2220020570387560158_n.jpg)
Msanii wa mitindo ya kiafrika kutoka Tanzania JOCKTAN WA MAKEKE AFRIKA ambaye amekuwa tishio katika mitindo ya asili ya mwafrika ameendelea kuiwakilisha vyema Tanzania katika majukwaa mbalimbali ndani na nje ya nchi , kama unakumbuka mwezi wa saba alituwakilisha vyema Jijini Nairobi na kuonekana mwanamitindo bora sasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yo6tBUPzRzg/Verrm2uk6FI/AAAAAAABU2Q/ddvJNUMGM5k/s640/11224060_751499984976995_1457749290909963131_n.jpg)
Msanii huyu ambaye ndio mwanzilishi ya kampuni ya MAKEKE AFRIKA CO. LTD atapanda tena jukwaani mwezi huu nchini Afrika Kusini kufanya maajabu kwa mara nyingine katika...
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa picha: Ziara ya papa Msumbiji
11 years ago
BBCSwahili26 May
Papa akamilisha ziara Mashariki ya Kati