Kwa picha: Ziara ya papa Msumbiji
Kiongozi wa kanisa Katoliki Duniani Papa Francis, ameanza ziara rasmi ya kihotoria Barani Afrika wiki hii - akiwa anazitembelea Msumbiji, Madagascar na Mauritius.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Kwa Picha: Maisha ya Papa Francis
10 years ago
Dewji Blog16 May
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kutua nchini Jumapili Mei 17 kwa ziara ya siku 3
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
Akitoa taarifa ya ziara hiyo leo jijini Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecki Sadiki amesema kuwa Rais Filipe Nyusi atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--HjGH0NARI4/VVioPWvI-FI/AAAAAAADnJg/Mmx4z-kdZtI/s72-c/ny1.jpg)
RAIS WA MSUMBIJI FILIPE JACINTO NYUSSI AWASILI NCHINI KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
![](http://4.bp.blogspot.com/--HjGH0NARI4/VVioPWvI-FI/AAAAAAADnJg/Mmx4z-kdZtI/s640/ny1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HcbW634hTbc/VVioP_9DcXI/AAAAAAADnJk/V2sPfec_yoE/s640/ny2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZJ2IPqciv78/VVioPwZ284I/AAAAAAADnJo/D2QPFj7hznA/s640/ny3.jpg)
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
MOJA KWA MOJA: Ziara ya Papa Francis Afrika
9 years ago
BBCSwahili06 Oct
Ziara ya Kikwete Kenya kwa picha
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
10 years ago
Vijimambo16 May
RAIS WA MSUMBIJI KUANZA ZIARA YA KITAIFA NCHINI
![](http://www.herald.co.zw/wp-content/uploads/2014/07/Nyusi.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 17 Mei, 2015 kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu nchini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Mhe. Rais Nyussi atapokelewa na mwenyeji wake Mhe. Rais Kikwete mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. Rais Nyusi atakagua Gwaride la Heshima na kupigiwa mizinga 21.
Baada...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandalizi ya ziara ya Papa Francis