FM ACADEMIA KUTUA ARUSHA KWA KISHINDO KUZINDUA ALBAMU YAO MPYA SEPTEMBER 5 VIWANJA VYA UKUMBI WA TRIPLE A
wasanii wa bendi ya fm Academia wakiwa jukwaani wanaimba wapili kulia ni Rais wa bendi Nyoshi
Rapa wa bendi ya Fm Academia akiwa anashambulia jukwaa wakati wa shoo.
wanenguaji wa bendi ya Fm wakiwa kazini wote hawa watakuwepo katika uzinduzi huu wa Albamu ya Chuki ya nini usikose ni balaaFm Academia baada ya kukaa kwa muda wa miaka 4 (minne) yaani kuanzia mwaka 2010 mpaka 2013 sasa wanatarajia kuzindua rasmi album mpya kabisa inayojulikana kwa jina la Chuki ya nini ndani ya jiji la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mG6jG6VLyzg/VEiAprYFCVI/AAAAAAAGs3U/UfOXQtqh-wE/s72-c/IMG-20141020-WA0010.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Tamasha la magari kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club
Afisa Fedha Mkuu wa Milembe Insurance Bw. Dioniz Diocles akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September, 2014 katika viwanja vya Leaders Club Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy.
Kushoto ni Mkurugenzi wa Kampuni ja JAST Tanzania Limited Bw. Jau Kessy akiongea na waandishi wa habari kuhusu Tamasha la magari linalotarajiwa kufanyika tarehe 27 na 28 September,...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Papa Francis kutua kwa kishindo Nairobi leo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s72-c/68408-2.jpg)
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZIkWS2bCyyA/U8w1EAWx9wI/AAAAAAAF4L0/8Oao1XOMbGA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
7th Auto Fest 2014 CALLING EXHIBITORS "Tanzania's Premier Automotive Event" Tarehe 19 - 21 September '14 , Viwanja vya BAIFRA Kinondoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZIkWS2bCyyA/U8w1EAWx9wI/AAAAAAAF4L0/8Oao1XOMbGA/s1600/unnamed+(9).jpg)
UNAKARIBISHWA KUCHUKUA NAFASI YAKO MAPEMA KAMA UNAHUSIKA NA:Commercial Vehicles 4 WD'sTransportation VehiclesMotorcycles & ScootersAuto Spare PartsTyres &...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Ngwasuma kuzindua albamu ya kumi
BENDI ya muziki wa dansi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ inatarajiwa kuzindua albamu yake ya 10 itakayobeba jina la ‘Chuki ya Nini’ kwenye Ukumbi wa Mzalendo Pub jijini Dar...
11 years ago
Michuzi05 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Ey6_1jC1e0Hbf1AuiW0N08rsgMhP-WQd0GnzyCNB2vdDbLTowzua9RXkoeCAdXcFM3F9DFny0fvrFuoDIubrF_SCVyXEk_jiaxgtIMLES_SaEJ92TWyIfKVdodKLpVRJrC_DTgsP0lvyENThUQuORmCADqmQbmFllT_4CA=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10533906_787774157941732_6171184658367640784_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/bReVNKQ7i5ZtX9GfB0zy-_xoNdWkDORukQjCK5lpux0GULVQlqcUcpVix8AptF8Rq8UOrLfbZbGAF1uEIih0Vl0BNB_uORjlfSRGtrbpDJZe7nKSJNwP85VdcHbQ-tK0b0gvPiRmc4xlpCNnIc7_tpsEfUmOdVvVKbhtMg=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10525863_787774277941720_1649986858832343868_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rtgJMu8No2TzgTR8z_tpeSfOsO2l_a05Up896Ltx6THdjo122MNkXCWZPGMugS8B0FAHxWJXOCfZY32PhTwjgPc41K16rJO9qsia6Rpzh-9fytYZhzTh_x65_IlcRfvlZ90JQgfwDYD1aeucng3u6olF6RovFaGLEc_7ctmF16ehVDalnHkn5DLk-JdwPuFM9rjc-5JUbrXdblLue62vJkp7_qiHowLCvwjvt4ZAfw=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10348594_787773937941754_1552291046139374602_n.jpg?oh=fc957a7722bfa177821ffde96c402281&oe=543AAD2F)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/oKpWthSsERUkvLc8GWkkzEdsPtLlhR35LzaV8CHhbeVD0jLAQSb4XDQ2Ld6dlARYDOE5mCsAPyws8r4KOqPMCx1k86sMjVb5FHTQaskh1a9GG3kkD5hLs27zOaprlbpnAawWhgYsIgbtZ8pbAbAan6ro-Ut1Vxjo2o7BaQOKsm5cy2jNgNfGf_575T6NsDs=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xaf1/t1.0-9/s526x296/10455356_787773727941775_2801812013228693007_n.jpg)
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Skylight Band wafanya uzinduzi rasmi wa nyimbo yao mpya ya Kariakoo pamoja na kutambulisha Studio yao mpya
![skylight band 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band-2.jpg)
Meneja wa Band ya Skylight Aneth Kushaba akielezea kwa kina uzinduzi Rasmi wa wimbo wao Mpya unaokwenda kwa jina la Kariakoo ambapo uzinduzi huo uliambatana na Video pamoja na Audio. Pia ametambulisha Rasmi Studio ya kurekodi Muziki ambapo sasa nyimbo zao watakuwa wanafanyia katika Studio yao.
![skylight band](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/skylight-band.jpg)
Kutoka kushoto ni mmoja wa waimbaji wa Skylight Band Sam Mapenzi, (katikati) ni Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba pamoja na Mwimbaji mwengine wa Skylight Band Joniko Flower wakiwa wanazungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200314_104533_524.jpg)
BONANZA LA WANANCHI WA TARAFA YA ELERAI LAFANA KWENYE VIWANJA VYA SINON COMPLEX ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104533_524.jpg)
Uzinduzi wa Bonanza la wananchi wa Tarafa ya Elerai kwenye viwanja vya Sinon Complex ukianza kwa vijana kutoka kata tano kugombea mbuzi huku Michezo ya Drafti na bao wakipata kuku zilizotolewa na Afisa Tarafa hiyo Daniel Cholobi ikiwa ni sehemu ya kuongeza ukaribu wa Serikali kwa wananchi picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-_du3bVFmB70/Xm01v6u-HLI/AAAAAAAAIbo/bkuC_N6lYkw4qGtWnLovz5Ww6AR4nRJXQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104539_166.jpg)
Afisa Tarafa ya Elerai mwenye Fulana nyeusi akiwa kwenye uzinduzi huo kwenye viwanja vya Sinon Complex leo Jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-y501R2Fj4go/Xm01vU82qRI/AAAAAAAAIbg/1TDbG_SdQOATuiGjdcV6jz4FgXRf8odhACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104543_473.jpg)
Wachezaji wa timu za kata ya Elerai wakiwa teyari...