KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA VIWANJA VYA 8 8 JIJINI ARUSHA
Taswira katika banda la Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha katika viwanja vya nane nane njiro ,
Katikati niMeneja masoko wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio5 Sarah Keiya kushoto mtangazaji wa kituo hicho Godfrey Thomas na kulia ni Dj Ibraah anayesababisha pande hizo
Dj Ibraah akifanya yake kwenye moja na mbili
Kushoto ni Goodluck Kissanga ,Godfrey Thomas watangazaji wa kituo hicho,katikati ni Meneja masoko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Aug
KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA NANE NANE ARUSHA
![SAM_4795](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/dM087SFCQvycp15kOlYGYllcxsuHgPn3d3EcHfxpoS5d4OhlRvX8rTWWphqd4KLXujudZfzr52NW5oEoOnqbLmGdSBUST41T61ZMRFqLFWpLZ5s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/sam_4795.jpg)
![SAM_4802](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/uLuA4RuhCgiz9zuY1qrYlvq0wz-HjwRfSlFYPwNmspFClJV9m0nqEVEGaPszI8tXRUwE3-3nbma3GUV-yZEg70iC2DKqFWsUNlcHMAs2wQUW2Jc=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/sam_4802.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s72-c/1.jpg)
WAZIRI DKT. MAHIGA ATEMBELEA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA AICC JIJINI ARUSHA
Balozi Mahiga alisema hayo Desemba 19 baada ya kufanya ziara kwenye eneo hilo na Kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC .
Eneo hilo litajengwa Mahakama ya Kimataifa ya Kimbari(MICT)Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR) na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lzAolfixqLQ/XumywhpL0VI/AAAAAAALuKo/jYrjgUWKn1k87csz_nmS29IMrEOSi-ubQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-7-2048x1365.jpg)
TARI YACHAGUA VIWANJA VYA NANENANE SIMIYU KUWA KITUO CHA UENEZAJI TEKNOLOJIA
Na Stella Kalinga, Simiyu RS.
Kituo cha utafiti wa kilimo nchini (TARI) kimechagua eneo la viwanja vya maonesho ya nane nane vilivyopo kata ya Nyakabindi wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu kuwa kituo endelevu cha uenezaji wa teknolojia lengo likiwa kuwawezesha wakulima kupata huduma za kilimo kwa mwaka mzima.
Hayo yamebainishwa na Bibi. Mshaghuley Ishika kutoka TARI Dodoma kwenye kikao cha maandalizi nane nane kilichofanyika Juni 15, 2020 kwenye jengo la mkoa wa Simiyu lililopo kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yxw3s3EWt2c/default.jpg)
9 years ago
Bongo503 Dec
Kituo cha redio cha Hits FM, Zanzibar chavamiwa na kuchomwa moto
![Coke](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Coke-300x194.jpg)
Kituo cha redio cha Hits FM cha visiwani Zanzibar, kimevamiwa na watu wasiojulikana na kuchomwa moto.
Studio za Hits FM baada ya kuchomwa moto
Naibu Kamishna wa Polisi visiwani humo, Salim Msangi ameiambia Radio One kuwa tukio hilo lilitokea saa saba na dakika 40 usiku.
Amesema watu hao waliofika kwenye studio hizi walimdhibiti mtangazaji huyo na kumziba mdomo na macho na kisha kutumia mito na makochi yalikuwepo hapo kukichoma.
Mtangazaji huyo aliyekuwa peke yake, alisema watu hao walikuwa...
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kituo cha Radio 5 Arusha — chasaka wasanii wenye vipaji mtaani jijini Dar
Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG).
Katika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa Kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s72-c/IMG_1475.jpg)
TWIGA BANCORP YAENDELEA KUTOA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-QQ1zc74cOq4/U7UbuwEDMTI/AAAAAAAFugs/SrSH7WpbF88/s1600/IMG_1475.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JPI3LYgN3ig/U7Ub7dP9A5I/AAAAAAAFug4/veNbzuNehkE/s1600/IMG_1506.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s72-c/IMG_0668.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s1600/IMG_0668.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aUguGqxFHBo/U7W9pb5HU-I/AAAAAAAA8ww/5VfeSP6SZQ8/s1600/IMG_0647.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPxyADPemPI/U7W-U6eAsEI/AAAAAAAA8xA/Gz2NsanCC1Y/s1600/IMG_0657.jpg)