Kituo cha Radio 5 Arusha — chasaka wasanii wenye vipaji mtaani jijini Dar
Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG).
Katika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa Kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi14 Sep
KITUO CHA RADIO 5 ARUSHA - CHASAKA WASANII WENYE VIPAJI MTAANI JIJINI DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1105-1024x499.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-cM24Tk72kc4/VO62LKMk8sI/AAAAAAAHF7w/MHYlmLLytVw/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dVm2XXwOEwM/VO62MqHot6I/AAAAAAAHF8E/8ND71291Uas/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Kituo cha Radio 5 chashinda nafasi ya kwanza maonyesho ya Nanenane Arusha
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akikabidhi kikombe Meneja masoko na mawasiliano Sarah Lazaro Keiya mara baada yakituo cha Radio5 kutangazwa washindi wa kwanza kwa upande wa Radio na wapili katika sekta nzima ya mawasiliano katika kilele cha sherehe za sikukuu ya Wakulima nanenane na maonyesho ya kilimo Kanda ya Kaskazini yaliyofanyika katika uwanja wa maonyeshoThemi Mkoani Arusha(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog).
Meneja masoko na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s72-c/1.jpg)
WAZIRI DKT. MAHIGA ATEMBELEA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA AICC JIJINI ARUSHA
Balozi Mahiga alisema hayo Desemba 19 baada ya kufanya ziara kwenye eneo hilo na Kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC .
Eneo hilo litajengwa Mahakama ya Kimataifa ya Kimbari(MICT)Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR) na...
10 years ago
Michuzi16 Feb
KITUO CHA RADIO 5 WAADHIMISHA SIKU YA RADIO DUNIANI
![SAM_1097](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/-UdwQuoQRFfeQs694h5GuIA0LWQuOEqyGllXNMUAm74l9LfQJSwtS5jlMSjEc4A91OfxANwORGoO2tU8_xZS7IB2mQ4NJMe8Gq6WDIAtUQhiZCA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/02/sam_1097.jpg)
Kushoto ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika maadhimisho hayo ya Radio duniani. Akizungumza na waandishi wahabari hivi karibuni Mkuu wa vipindi wa Radio 5 Bw.Mathew Philip alisema maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kituo hicho pamoja na Farm Radio, ikiwa ni kuhadhimisha siku ya Radio duniani ambapo ilifanyika tarehe 13/2/2015...
10 years ago
Michuzi06 Dec
KITUO CHA RADIO 5 CHAANDAA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA
![SAM_0369](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/nP931ma7CeBo8VR1mTxNEdBGGwL88Vr-BAwV2QUHmow2fOIdi1VokaY7GdtvVZ6cmJ_ffDxaFdgVGHLJPD-uNM1Egt83hhKPDMK93WRj1T5MbvUWw9Cnq6E=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0369.jpg?w=660)
9 years ago
Bongo520 Aug
Mrisho Mpoto aja na ‘Kutoka Shambani’, anatafuta wasanii watatu wenye vipaji
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache