Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
Rapper Stamina anaamini kuwa tasnia ya filamu nchini inashindwa kwenda mbele zaidi kutokana na waigizaji wengi kutokuwa na vipaji bali wanatafuta umaarufu na pesa. Stamina amesema anashindwa kukaa na kuangalia filamu za siku hizi kwakuwa zimekosa waigizaji mahiri. “Unajua kuangalia filamu kuna raha yake kama utakuta waigizaji ambao wanajua kazi yao. Sio o hawa wanaotafuta […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Nick wa Pili adai ni wasanii wachache waliojikwamua kiuchumi kupitia sanaa
9 years ago
Bongo520 Aug
Mrisho Mpoto aja na ‘Kutoka Shambani’, anatafuta wasanii watatu wenye vipaji
9 years ago
Bongo530 Oct
Daz Baba adai wasanii wengi wa Bongo ‘Wanafeki maisha’
![Daz Baba akiwa kwenye mazishi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/Daz-Baba-akiwa-kwenye-mazishi1-94x94.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Kituo cha Radio 5 Arusha — chasaka wasanii wenye vipaji mtaani jijini Dar
Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG).
Katika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa Kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...
9 years ago
Michuzi14 Sep
KITUO CHA RADIO 5 ARUSHA - CHASAKA WASANII WENYE VIPAJI MTAANI JIJINI DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/1105-1024x499.jpg)
9 years ago
Bongo510 Dec
Kingwendu adai wasanii wa komedi wataiokoa tasnia ya filamu Bongo
![Kingwendu.._full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/12/Kingwendu.._full-200x200.jpg)
Mchekeshaji, Rashidi Mwinshehe aka Kingwendu, amesema baada ya wasanii wa filamu za kawaida kushindwa kuendeleza mafanikio aliyoyaacha marehemu Steven Kanumba, wasanii wa wa kuchekesha wanajipanga kufanya mabadiliko ya filamu ndani ya mwaka 2016.
Mwigizaji huyo ambaye mwaka huu aligombea ubunge katika jimbo la Kisarawe, amekiambia kipindi cha Wasanii cha Pamoja Radio ya nchini Uholanzi kuwa, wasanii wa kuchekesha wamejipanga vizuri kuhakikisha bendera ya Tanzania inapepea zaidi kupitia...
9 years ago
Bongo527 Oct
Kampeni zimewaokoa wasanii wa filamu, wengi walikuwa na hali ngumu ya kiuchumi — Mwakifamba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*xz-RXGUSL*yDLI0i*PiWF9sT1JyEJzMX68e8Sto5kySc-1cqCS5g7vq-T8zriTg6KOJWf67uUTBjrQfl3PB6o/BUNGE2.jpg)
MAONI YA WACHACHE, WENGI, BUNGE LA KATIBA LIMEPINDA
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Wengi wanajua uwepo wake, wachache wanaielewa
“HAKIMILIKI ya kimila ya ardhi? Hapana bwana mwandishi, sijasikia kitu kama hicho”.
Johnson Mbwambo