Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache

Rapper Stamina anaamini kuwa tasnia ya filamu nchini inashindwa kwenda mbele zaidi kutokana na waigizaji wengi kutokuwa na vipaji bali wanatafuta umaarufu na pesa. Stamina amesema anashindwa kukaa na kuangalia filamu za siku hizi kwakuwa zimekosa waigizaji mahiri. “Unajua kuangalia filamu kuna raha yake kama utakuta waigizaji ambao wanajua kazi yao. Sio o hawa wanaotafuta […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili adai ni wasanii wachache waliojikwamua kiuchumi kupitia sanaa

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema ukuaji unaotafsiriwa sasa kwa mabadiliko yanayoendelea kwa upande wa sanaa ni kwa upande wa uzalishaji tu na sio faida kwa wasanii. Nick ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ukuaji wa sanaa umefaidisha wasanii wachache huku wengi wakikwama katika kipindi cha miaka 10. “Tumepanda kwenye kuzalisha content, lakini […]

 

9 years ago

Bongo5

Mrisho Mpoto aja na ‘Kutoka Shambani’, anatafuta wasanii watatu wenye vipaji

Msanii wa muziki wa asili na mtunzi wa mashairi, Mrisho Mpoto ameanzisha kijiji kiitwacho ‘Kutoka Shambani’ ambacho kitawakutanisha vijana wenye fani mbalimbali hapa nchini. Mpoto ameiambia Bongo5 kuwa vijana wenye vipaji mbalimbali na watakaokubali kushiriki watalazimika kukaa miaka 2 kwenye kijiji hicho bila kutumia simu. “Nilichokifanya nimetafuta heka 20 ambazo zipo, nachofanya nataka nichukue wasani […]

 

9 years ago

Bongo5

Daz Baba adai wasanii wengi wa Bongo ‘Wanafeki maisha’

Daz Baba akiwa kwenye mazishiDaz Baba amewataka wasanii kuacha ‘kufeki’ maisha yao ili waonekane wanaishi maisha mazuri wakati hali ni mbaya! Daz amesema wasanii wanaofanya hivyo ipo siku wataaibika. “Mimi naishi maisha ya ukweli, mimi sidanganyi nina Hummer wakati sina gari, mimi sina maisha hayo,” Daz alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Hatutakiwi kuishi maisha ya […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha Radio 5 Arusha — chasaka wasanii wenye vipaji mtaani jijini Dar

????????????????????????????????????

Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.(PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOG).

Katika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa Kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...

 

9 years ago

Michuzi

KITUO CHA RADIO 5 ARUSHA - CHASAKA WASANII WENYE VIPAJI MTAANI JIJINI DAR ES SALAAM

????????????????????????????????????Wasanii wenye vipaji vya kuimba wakihakiki majina yao kwa DJ Haazu, wa Radio 5 wakati wa mchakato wa RADIO 5 KAMATA KIPAJI uliofanyika katika viwanja vya TP SINZA Jijini Dar es salaam Septemba 12, 2015.wenye lengo la kusaka vijana wenye vipaji na kuwainua kutokana na vipaji vyao.PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-FULLSHANGWEBLOGKatika kuonyesha kuwa wapo karibu na vijana wa kitanzania katika kuwasaidia kuwainua kiuchumi na kiuwezo,kituo cha Radio maarufu kutoka kaskazini mwa Tanzania ARUSHA...

 

9 years ago

Bongo5

Kingwendu adai wasanii wa komedi wataiokoa tasnia ya filamu Bongo

Kingwendu.._full

Mchekeshaji, Rashidi Mwinshehe aka Kingwendu, amesema baada ya wasanii wa filamu za kawaida kushindwa kuendeleza mafanikio aliyoyaacha marehemu Steven Kanumba, wasanii wa wa kuchekesha wanajipanga kufanya mabadiliko ya filamu ndani ya mwaka 2016.

Kingwendu.._full

Mwigizaji huyo ambaye mwaka huu aligombea ubunge katika jimbo la Kisarawe, amekiambia kipindi cha Wasanii cha Pamoja Radio ya nchini Uholanzi kuwa, wasanii wa kuchekesha wamejipanga vizuri kuhakikisha bendera ya Tanzania inapepea zaidi kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Kampeni zimewaokoa wasanii wa filamu, wengi walikuwa na hali ngumu ya kiuchumi — Mwakifamba

Rais wa Shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema ameshikwa na huzuni baada ya kushuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla kutokana na kazi zao kutowaingizia fedha. Mwakifamba ameuambia mtandao wa FilamuCentral kuwa wasanii wengi wamekosa msaada kutokana na kukosa sehemu ya kuuza kazi zao na kwamba kampeni zimeokoa jahazi. “Tasnia ya filamu […]

 

11 years ago

GPL

MAONI YA WACHACHE, WENGI, BUNGE LA KATIBA LIMEPINDA

Na Luqman Maloto HUKO nyuma niliwahi kuandika makala, nikaeleza “Siasa, porojo na uhuni  siyo matarajio ya Watanzania Bunge la Katiba”. Aliyesoma alinielewa. Kama hukupata bahati hiyo, lengo langu lilikuwa kila mmoja ambaye anaitwa Mjumbe wa Bunge la Katiba, avae uzalendo. Mtanzania hatanufaika kwa misimamo ya makundi. Atakuwa bora kama nchi yake itatendewa haki kwa muundo wa katiba yenye jicho la kumpa hifadhi...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wengi wanajua uwepo wake, wachache wanaielewa

“HAKIMILIKI ya kimila ya ardhi? Hapana bwana mwandishi, sijasikia kitu kama hicho”.

Johnson Mbwambo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani