Nick wa Pili adai ni wasanii wachache waliojikwamua kiuchumi kupitia sanaa
Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema ukuaji unaotafsiriwa sasa kwa mabadiliko yanayoendelea kwa upande wa sanaa ni kwa upande wa uzalishaji tu na sio faida kwa wasanii. Nick ameiambia E-Newz ya EATV kuwa ukuaji wa sanaa umefaidisha wasanii wachache huku wengi wakikwama katika kipindi cha miaka 10. “Tumepanda kwenye kuzalisha content, lakini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
10 years ago
Bongo507 Oct
Kukosekana kwa umoja wa wasanii kunasababisha wajanja wachache kunufaika — Nikki Wa Pili
10 years ago
Bongo502 Oct
New Music: Nick wa Pili — Interlude
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri
MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...
11 years ago
Bongo514 Aug
Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi
11 years ago
Vijimambo11 Oct
NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.

10 years ago
Bongo528 Jan
Nick wa Pili: Maisha uyaonayo kwenye tamthilia au video za muziki ni feki yasikupe stress
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili