Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri
MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe
9 years ago
VijimamboMHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE
9 years ago
Bongo502 Oct
New Music: Nick wa Pili — Interlude
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Kutana na vijana walioamua kujiajiri
9 years ago
StarTV02 Dec
Vijana waliohitimu VETA watakiwa kujiajiri
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya mafunzo na ufundi stadi VETA Kanda ya Magharibi Tabora Dokta Gerson Nyadzi amewataka vijana waliohitimu elimu ya ufundi kujiajiri badala ya kutegemea ajira rasmi ambayo kwa sasa ni finyu.
Wahitimu wa fani mbalimbali wa chuo cha ufundi stadi VETA mkoa wa Tabora wametakiwa kutekeleza lengo la Serikali la kuanzisha chuo hicho kwa kuitumia elimu waliyoipataka kujiajiri wenyewe ili kupambana na soko la ajira nchini.
Dr. Gerson Nyadzi ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...
9 years ago
StarTV10 Sep
Dk. Bilal ahimiza vijana wabunifu kujiajiri
Makamu wa Rais Dokta Mohamed Gharib Bilal amewataka vijana kutumia kazi za ubunifu kama sehemu ya kujiongezea ajira na kuchangia zaidi kwenye pato la taifa kwa kutumia nguvu walizonazo.
Amesema, kwa wakati huu ambapo sekta ya ajira inakabiliwa na changamoto nyingi, hususan nafasi chache kwenye ajira rasmi, vijana hawana budi kuzingatia elimu ya ubunifu ili kukidhi upungufu uliopo.
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa huduma ya kurudisha taarifa...
10 years ago
Bongo514 Aug
Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SpxRXnNPUy0/VARxgvWg-9I/AAAAAAAGZ4w/ExeyQxljiPQ/s72-c/TS2a.jpg)
Vijana washauriwa kujiajiri katika sekta ya Sanaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-SpxRXnNPUy0/VARxgvWg-9I/AAAAAAAGZ4w/ExeyQxljiPQ/s1600/TS2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x7ek3MUt5ks/VARxhwBxP5I/AAAAAAAGZ48/EngHATNn6RQ/s1600/TS2b.jpg)