Vijana waliohitimu VETA watakiwa kujiajiri
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya mafunzo na ufundi stadi VETA Kanda ya Magharibi Tabora Dokta Gerson Nyadzi amewataka vijana waliohitimu elimu ya ufundi kujiajiri badala ya kutegemea ajira rasmi ambayo kwa sasa ni finyu.
Wahitimu wa fani mbalimbali wa chuo cha ufundi stadi VETA mkoa wa Tabora wametakiwa kutekeleza lengo la Serikali la kuanzisha chuo hicho kwa kuitumia elimu waliyoipataka kujiajiri wenyewe ili kupambana na soko la ajira nchini.
Dr. Gerson Nyadzi ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziVijana Dar watakiwa kujiamini, kuwa wabunifu na kujiajiri
9 years ago
VijimamboMHE. ENG.HAMAD MASAUNI AFUNGUA MAFUNZO YA VIJANA WA TUEPO KUWAJENGEA UWEZO VIJANA KUJIAJIRI WENYEWE
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mhe.Eng.Hamad Masauni afungua mafunzo ya vijana wa TUEPO kuwajengea uwezo vijana kujiajiri wenyewe
10 years ago
Mwananchi24 Feb
MAONI: Serikali iwasikilize vijana hawa waliohitimu JKT
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Kutana na vijana walioamua kujiajiri
10 years ago
Michuzi21 Feb
TAARIFA YA JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) KUHUSU VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO KWA KUJITOLEA NA KUTAKA KUAJIRIWA NA SERIKALI
Baadhi ya sababu za kuanzishwa kwa JKT ni:
Kubadili fikra za vijana wa nchi hii kutoka ile hali ya ukoloni kutegemea nchi nyingine kuleta maendeleo.
Kukusanya nguvu za vijana wote wa nchi hii na kuzielekeza kwa umoja wao kufanya kazi pamoja kwa manufaa ya...
9 years ago
StarTV10 Sep
Dk. Bilal ahimiza vijana wabunifu kujiajiri
Makamu wa Rais Dokta Mohamed Gharib Bilal amewataka vijana kutumia kazi za ubunifu kama sehemu ya kujiongezea ajira na kuchangia zaidi kwenye pato la taifa kwa kutumia nguvu walizonazo.
Amesema, kwa wakati huu ambapo sekta ya ajira inakabiliwa na changamoto nyingi, hususan nafasi chache kwenye ajira rasmi, vijana hawana budi kuzingatia elimu ya ubunifu ili kukidhi upungufu uliopo.
Makamu wa Rais, Dkt. Bilal ameyasema hayo Jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa huduma ya kurudisha taarifa...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri
MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...
10 years ago
MichuziVijana washauriwa kujiajiri katika sekta ya Sanaa