New Music: Nick wa Pili — Interlude
Sikiliza kionjo hiki cha Nick wa Pili chenye verse moja tu lakini moto. Nick ameiambia Bongo5 kuwa kipande hiki ni cha kuonjesha tu ujio wa ngoma yake mpya na rasmi. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri
MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...
10 years ago
Bongo514 Aug
Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi
9 years ago
Bongo528 Sep
Nick wa Pili adai ni wasanii wachache waliojikwamua kiuchumi kupitia sanaa
10 years ago
Vijimambo11 Oct
NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.
![](http://api.ning.com/files/2VGrzzXedu1B0n9ugLrrUBRdcXoCClBl5uKXUhVqUiREmhVxPYHKn19GZPb8d-POCZH7ycYMgc01ZUKoFjK9Ewz*bIwZfvpo/a630dacaaaL.jpg)
10 years ago
Bongo528 Jan
Nick wa Pili: Maisha uyaonayo kwenye tamthilia au video za muziki ni feki yasikupe stress
9 years ago
Bongo506 Nov
Nick wa Pili aeleza kwanini wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema
![10475068_580578882090207_1870253540_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10475068_580578882090207_1870253540_n-300x194.jpg)
Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema kutokana na ujumbe wake na jinsi alivyobadilika kwenye aina ya uchanaji.
Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utakuwa ni miongoni mwa nyimbo zake zitakazoishi kwa muda mrefu zaidi.
“Kichwa cha jina la wimbo kimechangia wimbo kwenda haraka, utofauti wa kilichoimbwa, ujumbe ni wa kufurahisha sana, muundo wa chorus ni mpya, beat hata michano ni vipya ndio kitu ambacho kimewagusa watu,”...
9 years ago
Bongo508 Dec
‘Don’t Bother’ ya Joh Makini imeiathiri ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili? Hili ndio jibu lao
![10475068_580578882090207_1870253540_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10475068_580578882090207_1870253540_n-300x194.jpg)
Mtaani watu wanasema wimbo wa Joh Makini ‘Don’t Bother’ huenda ukawa sababu ya kwanini ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili haikupata attention ilivyotarajiwa.
Wengine wanaamini kuwa wimbo huo alioshirikishwa pia rapper wa Afrika Kusini, AKA, huenda ukawa ni mchawi kwa wimbo huo wa Nick wa Pili.
Lakini watu wanasahau kuwa wawili hawa ni ndugu na chochote kinachotokea kati yao ni faida kwa brand yao ya Weusi. Maana yake ni kuwa ni mafanikio ya Joh Makini ni mafanikio ya Nick wa Pili na G-Nako...
10 years ago
Bongo502 Jun
Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6