Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.

Rapper kutoka kundi la Weusi Nick wa pili amesema anatarajia kurudi chuo kuchukua PhD, Mwaka jana Nicki wa pili alifanikiwa kuchukua Master na kuwa kati ya A-list ya wasanii wa Tanzania wenye Kisomo cha kuridhisha lakini mweusi huyu anaonekana kutoridhika bado baada ya kuonesha nia ya kurudi tena chuo ili kuchukua PhD , Rapper wa ngoma ya "sitaki kazi" alipokua akizungumza na kipindi cha XXL cha clouds fm siku ya leo Nick wa pili alifunguka kuwa Tayari ameapply na amepata nafasi chuo kikuu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amekuwa mwanamuziki wa pili Tanzania kupata akaunti ya VEVO kwaajili ya kuweka video zake. VEVO ni mtandao mkubwa namba moja duniani unaohusika kuhifadhi na kurusha kazi za wanamuziki maarufu duniani kama kina Nicki Minaj, Beyonce, Jay Z na wengine. Gosby ndiye alikuwa msanii wa kwanza wa kizazi kipya kupata akaunti […]

 

10 years ago

Bongo5

Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili, mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mrembo na mwanaharakati wa masuala ya wanawake, Irene Kiwia ni miongoni mwa mastaa watakaozungumza kwenye kongamano la masuala ya masoko litakalofanyika kwenye chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, June 6. Kombamano hilo limeandaliwa na chama cha masoko cha chuo […]

 

9 years ago

Bongo5

Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000

cassper soldoutRapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kujaza ukumbi wa The Dome ulioko jijini Johannesburg kwenye show aliyoandaa mwenyewe iliyofanyika Jumamosi Oct.31. Cappser pia ndiye msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kuutumia ukumbi huo wenye uwezo wa kujaza watu 20,000 ambao hutumika zaidi kwenye show zinazokuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii

11253897_955031214568617_1983885996_n

Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.

11253897_955031214568617_1983885996_n

Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.

10249313_428053124072355_1371821855_n

“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.

“So hiyo ilinijengea...

 

11 years ago

Mwananchi

Mr. flavour: msanii aliyeibuliwa na mchungaji

Watu wengi barani Afrika walifahamu kipaji chake baada ya kusikia wimbo wake uitwao ‘Ashawo’, lakini hiyo ilikuwa ni katikati ya safari yake ya muziki aliyoianza miaka mingi nyuma.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Nick wa Pili — Interlude

Sikiliza kionjo hiki cha Nick wa Pili chenye verse moja tu lakini moto. Nick ameiambia Bongo5 kuwa kipande hiki ni cha kuonjesha tu ujio wa ngoma yake mpya na rasmi. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri

MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...

 

10 years ago

Mwananchi

Nikki wa Pili: Mikakati ni mingi baada ya PhD

>Rapa Nikki wa Pili kutoka Kampuni ya Weusi ameweka wazi mikakati yake na kile atakachofanya baada ya kumaliza Shahada yake ya Uzamuvu (PhD).

 

10 years ago

Bongo5

Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi

Msemaji wa kampuni ya Weusi, Nick wa Pili amewataka mashabiki wao kuendelea kuwa na subiri kuhusu taarifa rasmi ya lini Lord Eyez atarejea tena akiwa chini ya kampuni hiyo. Nick alikuwa akiongea na Bongo5 na kusema: Akirudi tutatoa taarifa bado hatujatoa taarifa rasmi. Kwahiyo sasa hivi hakuna tamko lolote. Kama tuliweza kutoa tangelo la kumsimamisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani