NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.
Rapper kutoka kundi la Weusi Nick wa pili amesema anatarajia kurudi chuo kuchukua PhD, Mwaka jana Nicki wa pili alifanikiwa kuchukua Master na kuwa kati ya A-list ya wasanii wa Tanzania wenye Kisomo cha kuridhisha lakini mweusi huyu anaonekana kutoridhika bado baada ya kuonesha nia ya kurudi tena chuo ili kuchukua PhD , Rapper wa ngoma ya "sitaki kazi" alipokua akizungumza na kipindi cha XXL cha clouds fm siku ya leo Nick wa pili alifunguka kuwa Tayari ameapply na amepata nafasi chuo kikuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Jan
Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby
10 years ago
Bongo502 Jun
Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6
9 years ago
Bongo502 Nov
Cassper Nyovest aweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa watu 20,000
![cassper soldout](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/cassper-soldout-94x94.png)
9 years ago
Bongo516 Nov
Layla (Voice Fairy) – Msanii chipukizi wa Bongo aliyeshinda shindano la Yemi Alade na kuwa staa kwa kuimba cover za wasanii
![11253897_955031214568617_1983885996_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11253897_955031214568617_1983885996_n-300x194.jpg)
Kwa wapenzi wa mtandao wa Instagram, jina na sura ya Layla aka The Voice Fairy sio vigeni.
Muimbaji huyo wa Mwanza anayeishia Dar es Salaam kimasomo amejipatia umaarufu kwenye ulimwengu wa Instagram kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine (cover) kabla hata ya kurekodi wimbo wake ‘Hoi Hoi’ uliotoka wiki iliyopita.
“Napenda sana kuimba nyimbo za watu napost kwenye Instagram yangu,” Layla alikiambia kipindi cha The Bridge cha Radio Free Africa, Jumapili, Nov 15.
“So hiyo ilinijengea...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Mr. flavour: msanii aliyeibuliwa na mchungaji
9 years ago
Bongo502 Oct
New Music: Nick wa Pili — Interlude
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Nick wa Pili kuwahamasisha vijana kujiajiri
MKALI wa hip hop nchini, Nick wa Pili, ameanzisha taasisi yake inayojulikana kwa jina la ‘Twaonekana’ ambayo itakuwa inasaidia vijana wa Tanzania kuwa na moyo wa kujiajiri wenyewe. Nick ambaye...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Nikki wa Pili: Mikakati ni mingi baada ya PhD
10 years ago
Bongo514 Aug
Nick wa Pili azungumzia hatma ya Lord Eyez ndani ya Weusi