Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili, mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mrembo na mwanaharakati wa masuala ya wanawake, Irene Kiwia ni miongoni mwa mastaa watakaozungumza kwenye kongamano la masuala ya masoko litakalofanyika kwenye chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, June 6. Kombamano hilo limeandaliwa na chama cha masoko cha chuo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

UDSM yawatunukia tuzo Dr. Mengi, Millard Ayo, Sheria Ngowi, Diamond Platinumz na Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) Ndg. Docta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg...

 

10 years ago

Michuzi

UDSM YAWATUNUKIA TUZO DR. MENGI, MILLARD AYO, SHERIA NGOWI, DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA
Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg David...

 

9 years ago

MillardAyo

Top 10 ya news kutoka kwenye YouTUBE ya Millard Ayo wiki hii

10. MSANII WA BONGO FLEVA ALIYEITIWA MWIZI KINONDONI DSM. 9. DIWANI WA CHADEMA ALIYEKUBALI KASI YA MAGUFULI 8. KWANINI MR NICE ANAFANYA MUZIKI KWA NYODO 7. MLUGALUGA – MTANZANIA ALIYEWEZA KUIIGILIZIA SAUTI YA RAIS MAGUFULI 6. NAHREEL ‘ISIELEWEKE VIBAYA KUHUSU HIKI NILICHOSEMA KUHUSU DIAMOND‘ 5. WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ALIVYOGEUZA GARI AKIELEKEA KAZINI 4: NI KWELI MWIMBAJI KIDUMU […]

The post Top 10 ya news kutoka kwenye YouTUBE ya Millard Ayo wiki hii appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

Irene Kiwia alivyoiwakilisha Tanzania kwenye Mkutano mkuu wa 69 wa Umoja wa Mataifa

Rais wa Taasisi ya kijamii ya Wanawake wenye Mafanikio Tanzania (Tanzania Women of Achievement ),Bi. Irene Kiwia (wa pili kushoto) akizungumza kwenye Mkutano mkuu wa  69 wa Umoja wa Mataifa (Unga) kwa kushirikiana na Clinton Global Initiative (CGI) uliofanyika mwezi uliopita nchini Marekani.Bi. Kiwia alipata nafashi ya kuiwakilisha Tanzania kwenye Mkutano huo uliokuwa na ukijadili maswala mbali mbali ya wanawake na maendeleo, swala ambalo liko karibu sana na kazi zake.Wengine pichani ni Bi....

 

10 years ago

Vijimambo

NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.

Rapper kutoka kundi la Weusi Nick wa pili amesema anatarajia kurudi chuo kuchukua PhD, Mwaka jana Nicki wa pili alifanikiwa kuchukua Master na kuwa kati ya A-list ya wasanii wa Tanzania wenye Kisomo cha kuridhisha lakini mweusi huyu anaonekana kutoridhika bado baada ya kuonesha nia ya kurudi tena chuo ili kuchukua PhD , Rapper wa ngoma ya "sitaki kazi" alipokua akizungumza na kipindi cha XXL cha clouds fm siku ya leo Nick wa pili alifunguka kuwa Tayari ameapply na amepata nafasi chuo kikuu...

 

10 years ago

GPL

MILLARD AYO ATEMBELEA GLOBAL JANA

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (mwenye kofia) akielezwa jambo na Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) alopotembelea Global Publishers jana. Aliyekaa ni msanifu kurasa, Shafii Hashim. Mhariri wa Risasi Jumamosi, Erick Evarist (kulia) akimfafanulia jambo na Millard Ayo (kushoto) na Saleh Ally (katikati).…

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani