Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UDSM YAWATUNUKIA TUZO DR. MENGI, MILLARD AYO, SHERIA NGOWI, DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA
Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg David...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

UDSM yawatunukia tuzo Dr. Mengi, Millard Ayo, Sheria Ngowi, Diamond Platinumz na Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) Ndg. Docta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg...

 

10 years ago

Vijimambo

HUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHAWATUNUKIA TUZO DR MENGI.MILLAR AYO,SHERIA NGOWI , DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIAMlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg David...

 

10 years ago

Bongo5

Nick wa Pili, Millard Ayo, Irene Kiwia na wengine kuwa wazungumzaji kwenye kongamano la masomo UDSM, June 6

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili, mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mrembo na mwanaharakati wa masuala ya wanawake, Irene Kiwia ni miongoni mwa mastaa watakaozungumza kwenye kongamano la masuala ya masoko litakalofanyika kwenye chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM, June 6. Kombamano hilo limeandaliwa na chama cha masoko cha chuo […]

 

11 years ago

GPL

MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU

Baadhi ya mastaa wote waliyojipatia tuzo wakiwa kwenye pozi la pamoja muda mfupi baada ya zoezi la utoaji tuzo kukamilika.
Miss Tanzania 2004, Faraja Kota (kulia), akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Filamu Anayependwa, Mzee Majuto.…

 

10 years ago

GPL

WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015, ALI KIBA AIBUKA NA TUZO TANO, DIAMOND PLATINUMZ MBILI

Staa wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye' akimtaja mshindi. Joh Makini akiwashukuru mashabiki wake (hawapo pichani) baada ya kuchukua Tuzo ya Mtunzi Bora wa Mwaka wa Hip Hop akiwa na Nikki wa Pili (kushoto). MAJINA YA WASHINDI WA TUZO ZA KTMA 2015 1. KIKUNDI BORA CHA MWAKA - BONGO FLEVA - YAMOTO BAND 2. KIKUNDI…

 

9 years ago

Mtanzania

DIAMOND,Ngowi ndani ya Tuzo za TFAA

diamondNA CHRISTOPHER MSEKENA

BAADA A ya kutwaa tuzo tatu za AFRIMA wikiendi iliyopita, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ pamoja na Patrick Ngowi wametajwa kuwania Tuzo za The Future Awards Africa (TFAA) zinazohusu vijana wenye umri kuanzia 18-31 waliofanya vizuri kwenye nyanja tofauti.

Katika tuzo hizo Diamond ameingia kama msanii wa muziki aliyefanya vizuri kwa mwaka huu na Patrick Ngowi ameingia kwenye tuzo hizo kama mjasiriamali wa masuala ya nishati ya jua.

Wabongo hao wanaungana na nyota...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sheria Ngowi Brand Proudly official designer of Diamond @MTV MAMA

sheria

Diamond

Diamond Platinumz and Wema Sepetu.

Being nominated in an internationally recognized award worldwide, is a sign of hardworking and thirst to achieve more.

You are really flying or Tanzanian flag globally and yet paved the way for international attention indeed.

Congratulations Diamond Platinumz, you have set a Benchmark. Keep up the good work.

Deogracious  Kessy- Head of Marketing

#Sheria Ngowi Brand#

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani