Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU

Baadhi ya mastaa wote waliyojipatia tuzo wakiwa kwenye pozi la pamoja muda mfupi baada ya zoezi la utoaji tuzo kukamilika.
Miss Tanzania 2004, Faraja Kota (kulia), akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Filamu Anayependwa, Mzee Majuto.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

LULU, MILARD AYO, KING MAJUTO WAIBUKA VINARA KATIKA SHEREHE ZA UTOAJI TUZO ZA WATU KATIKA HOTELI YA SERENA

 Millard Ayo akipokea Tuzo ya Mtangazaji wa Radio wa kiume anayependwa mara baada ya kuibuka mshindi katika kipengele hiko  Akiwashukuru Wadau waliompigia kura na kumpa sapoti  Salim Kikeke kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC akiwashukuru wadau wake waliomuwezesha kushinda Tuzo  King Majuto akifurahi mara baada ya kuppokea Tuzo yake mara baada ya kutangazwa mshindi wa Kipengele cha Msanii Bora anayependwa wa Kiume.Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog. Kwa picha zaidi BOFYA...

 

10 years ago

Michuzi

UDSM YAWATUNUKIA TUZO DR. MENGI, MILLARD AYO, SHERIA NGOWI, DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA
Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg David...

 

10 years ago

Dewji Blog

UDSM yawatunukia tuzo Dr. Mengi, Millard Ayo, Sheria Ngowi, Diamond Platinumz na Zitto Kabwe

Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) Ndg. Docta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’

MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...

 

10 years ago

GPL

MASTAA WANG’ARA TUZO ZA TEMEKE

  Ally Jay (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya kundi lake la 5 Stars. Said Fella (kushoto) akipokea moja ya tuzo alizokabidhiwa. KR Muller akipokea tuzo kwa niaba ya Juma Nature.…

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

MILLARD AYO AWAPIGA CHINI MASTAA

Stori: MUSA MATEJA AMETISHA! Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo amewapiga chini mastaa kibao baada ya kutwaa Tuzo ya Mtangazaji Anayependwa wa Redio na nyingine ya Kipindi cha Redio Kinachopendwa yaani Amplifaya katika Tuzo za Watu. Prizenta wa Clouds FM, kupitia kipindi chake cha Amplifaya, Millard Ayo (wa tatu kushoto) akiwa na tuzo pamoja na wenzake. Mpango mzima ulichukua nafasi usiku wa...

 

10 years ago

GPL

MILLARD AYO ATEMBELEA GLOBAL JANA

Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo (mwenye kofia) akielezwa jambo na Mhariri Kiongozi wa Championi, Saleh Ally (kushoto) alopotembelea Global Publishers jana. Aliyekaa ni msanifu kurasa, Shafii Hashim. Mhariri wa Risasi Jumamosi, Erick Evarist (kulia) akimfafanulia jambo na Millard Ayo (kushoto) na Saleh Ally (katikati).…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani