Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WANG’ARA TUZO ZA TEMEKE

  Ally Jay (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya kundi lake la 5 Stars. Said Fella (kushoto) akipokea moja ya tuzo alizokabidhiwa. KR Muller akipokea tuzo kwa niaba ya Juma Nature.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MZEE MAJUTO, LULU, MILLARD AYO WANG’ARA TUZO ZA WATU

Baadhi ya mastaa wote waliyojipatia tuzo wakiwa kwenye pozi la pamoja muda mfupi baada ya zoezi la utoaji tuzo kukamilika.
Miss Tanzania 2004, Faraja Kota (kulia), akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora wa Filamu Anayependwa, Mzee Majuto.…

 

10 years ago

Michuzi

Makundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke

Usili wa kwanza wa Dance 100% (2015) umefanyika kwa mafanikio makubwa Temeke jijini Dar es Salaam, ambapo makundi ya Team ya Shamba, The WT Group, WD, The Best Boys Kaka Zao na Team Makorokocho wameweza kushinda nafasi ya kuingia katika michuano kutoka wilaya ya Temeke.
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.


Mratibu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaja, Tegete wang’ara

‘Wametoa gundu’. Hicho ndicho unachoweza kusema kwa Jerryson Tegete na Genilson Santos ‘ Jaja’ walipofungia Yanga kwa mara ya kwanza, wakati Simba wameendeleza rekodi ya sare jijini Mbeya na Azam wakiambulia kipigo.

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama wang'ara Shimiwi

Timu ya Mahakama ya Tanzania imeendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya Shirikisho ya Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (Shimiwi) inayoendelea mkoani Morogoro kwenye uwanja wa Jamhuri.
Timu ya Mahakama ambayo inanolewa na kocha wa zamani wa klabu ya Simba na timu ya Taifa, Abdallah “King Mputa” Kibadeni jana iliibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya Ras Tanga na kuingia hatua ya robo fainali.
Wakati timu ya soka ikiingia katika hatua hiyo muhimu, timu ya mchezo, kamba (wanawake na...

 

10 years ago

Habarileo

Olimpiki Maalumu wang’ara

KATIKA kudhihirisha kuwa wanaweza, timu ya Tanzania inayoshiriki Olimpiki Maalumu imeendelea kuvuna medali kwenye mashindano ya dunia yanayofanyika Los Angles, Marekani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

14 wang’ara Siku ya Gofu

WACHEZAJI 14 kati ya 52 wa mchezo wa gofu jijini Dar es Salaam ambao walishiriki mashindano yaliyojulikana kama ‘Siku ya Gofu’, mwishoni mwa wiki waliibuka kidedea baada ya kufanya vizuri...

 

10 years ago

Habarileo

Mabondia Tanzania wang’ara Mombasa

MABONDIA wa timu ya taifa ya Tanzania wameanza vizuri mashindano ya majiji ya Afrika Mashariki baada ya mabondia wake watatu kuanza kwa ushindi dhidi ya wapinzani wao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya wang'ara Diamond League

Bingwa wa dunia mkenya Asbel Kiprop na mkenya mwenzake Hellen Obiri walitifua kivumbi Doha

 

11 years ago

Mwananchi

Waandishi wanawake wang’ara Ejat

Waandishi wa habari wanawake wameibuka kidedea kwenye tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) kwa mwaka 2013, baada ya kunyakua tuzo 13, huku Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ikishinda tuzo tano kati ya tuzo 19 zilizoshindaniwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani