Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Don’t Bother’ ya Joh Makini imeiathiri ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili? Hili ndio jibu lao

10475068_580578882090207_1870253540_n

Mtaani watu wanasema wimbo wa Joh Makini ‘Don’t Bother’ huenda ukawa sababu ya kwanini ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili haikupata attention ilivyotarajiwa.

10475068_580578882090207_1870253540_n

Wengine wanaamini kuwa wimbo huo alioshirikishwa pia rapper wa Afrika Kusini, AKA, huenda ukawa ni mchawi kwa wimbo huo wa Nick wa Pili.

Lakini watu wanasahau kuwa wawili hawa ni ndugu na chochote kinachotokea kati yao ni faida kwa brand yao ya Weusi. Maana yake ni kuwa ni mafanikio ya Joh Makini ni mafanikio ya Nick wa Pili na G-Nako...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aeleza alichokuwa amepanga kufanya kama AKA asingetokea wakati wa kushoot video ya ‘Don’t Bother’

Johmakini.1

Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wasanii wakilazimika kushoot video bila wasanii waliowashirikisha kwenye nyimbo zao, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wasanii walioshirikishwa kukosa muda wa kushiriki kwenye video, au kushindwa kuelewana au tu kuamua kuzingua.

Johmakini.1

Ili kukabiliana na changamoto kama hizo, rapper wa Weusi Joh Makini alijipanga kikamilifu wakati anaenda Afrika Kusini kushoot video ya collabo yake na AKA ‘Don’t Bother’.

Joh amesema kuwa aliandaa version mbili ya wimbo huo ili...

 

9 years ago

Bongo5

Don’t Bother ya Joh Makini yamshika Mama yake Dully Sykes

Dully

Si vijana tu wanaopagawa na ngoma mpya ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA, ‘Don’t Bother.

Mama yake mzazi na Dully Sykes naye ni shabiki wa ngoma hiyo.

Akizungumza XXL ya Clouds FM, Dully alisema mama yake mara kwa mara amekuwa akijaribu kuuimba wimbo huo unaofanya vizuri kwa sasa.

“Mama yangu anapenda sana hip hop na sasa hivi anapenda sana na ananiimbiaga Don’t Brother,”alisema Dully.

“Don’t Brother ndio nyimbo yake ya Joh Makini. Mama yangu ni shabiki wa Hip hop, ni shabiki mkubwa wa...

 

9 years ago

Bongo5

Nikki Wa Pili: Najipanga kufanya video kubwa ya ‘Baba Swalehe’ na director mkubwa wa nje

Nikk

Baada ya Joh Makini kufanya video mbili (Nusu Nusu na Don’t Bother), na G-Nako kufanya video moja (Original) Afrika Kusini na muongozaji Justin Campos, sasa ni zamu ya Nikki kufanya video na muongozaji huyo ambaye ameonekana kukubalika sana na wasanii wengi wa Bongo wanaomkimbilia kufanya naye kazi kwa sasa.

Nikk

Rapa wa Weusi Nikki Wa Pili ameieleza Bongo5 kuwa anajiandaa kufanya video kubwa ya wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’, na mpango wake ni kufanya na director wa nje.

“Baba Swalehe’...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee hujiskiaje akimuona Jux ‘akimbusu’ msichana mwingine kwenye video? Hili ndio jibu lake!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ukiwa girlfriend wa mwanamuziki inabidi uliondoe neno ‘wivu’ kwenye kamusi yako kichwani!

12230886_926044967480796_2021833105_n

Ni kwasababu bila hivyo utaishia kuwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

Jux ana bahati ya kuwa na girlfriend anayeelewa kuwa muziki ni kazi na wakati mwingine unatakiwa kufanya kile mtu wa kawaida hawezi kufanya.

Vanessa Mdee amepost picha ya Jux ya kile kinachoonekana kama video yake ijayo na wimbo ‘One More Night’ na kuandika sentesi inayomaanisha kuwa pale mpenzi wake anapoonesha kuwapenda wasichana...

 

11 years ago

GPL

NIKKI WA PILI: SIJAWAHI KUMTUNGIA NGOMA JOH MAKINI

UNAPOZUNGUMZIA makundi ya Hip Hop yanayofanya vizuri kwa sasa ni wazi utalitaja kundi moja maarufu kutoka pande za Arusha, Weusi. Kundi hilo linaongozwa na vichwa vitano vikiwemo, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Nickson Simon (Nikki wa Pili), George Sixtus Mdemu (G Nako), John Simon (Joh Makini) na Bonta. Jamaa wana ngoma nyingi ambazo zote zimeweza kushika chati ikiwa ni pamoja na ya sasa ya Gere, kuanzia ngoma...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili aeleza kwanini wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema kutokana na ujumbe wake na jinsi alivyobadilika kwenye aina ya uchanaji.

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utakuwa ni miongoni mwa nyimbo zake zitakazoishi kwa muda mrefu zaidi.

“Kichwa cha jina la wimbo kimechangia wimbo kwenda haraka, utofauti wa kilichoimbwa, ujumbe ni wa kufurahisha sana, muundo wa chorus ni mpya, beat hata michano ni vipya ndio kitu ambacho kimewagusa watu,”...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili kuja kuja na wimbo ‘Baba Swalehe’

nikki wa piliRapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili anatarajia kuachia wimbo uitwao Baba Swahele. Amedai kuwa wimbo huo unazungumzia mwanaume bachelor ‘anayeishi ndani ya ndoa.’ “Baba Swalehe ni mtu ambaye anaishi kibachela ndani ya ndoa,” Nick amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM. “Wimbo ukitoka watajua unawezaje kuishi ndani ya ndoa lakini ukiwa unaishi kibachela? […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani