Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NIKKI WA PILI: SIJAWAHI KUMTUNGIA NGOMA JOH MAKINI

UNAPOZUNGUMZIA makundi ya Hip Hop yanayofanya vizuri kwa sasa ni wazi utalitaja kundi moja maarufu kutoka pande za Arusha, Weusi. Kundi hilo linaongozwa na vichwa vitano vikiwemo, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Nickson Simon (Nikki wa Pili), George Sixtus Mdemu (G Nako), John Simon (Joh Makini) na Bonta. Jamaa wana ngoma nyingi ambazo zote zimeweza kushika chati ikiwa ni pamoja na ya sasa ya Gere, kuanzia ngoma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel

 

9 years ago

Bongo5

‘Don’t Bother’ ya Joh Makini imeiathiri ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili? Hili ndio jibu lao

10475068_580578882090207_1870253540_n

Mtaani watu wanasema wimbo wa Joh Makini ‘Don’t Bother’ huenda ukawa sababu ya kwanini ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili haikupata attention ilivyotarajiwa.

10475068_580578882090207_1870253540_n

Wengine wanaamini kuwa wimbo huo alioshirikishwa pia rapper wa Afrika Kusini, AKA, huenda ukawa ni mchawi kwa wimbo huo wa Nick wa Pili.

Lakini watu wanasahau kuwa wawili hawa ni ndugu na chochote kinachotokea kati yao ni faida kwa brand yao ya Weusi. Maana yake ni kuwa ni mafanikio ya Joh Makini ni mafanikio ya Nick wa Pili na G-Nako...

 

9 years ago

Bongo5

Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka

joh davido

Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.

joh davido

Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.

Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...

 

10 years ago

CloudsFM

Nikki Mbishi amjibu Nikki wa Pili

Jana kwenye ukurasa wa Instagrama wa @Cloudsfmtz waliposti mambo ambayo Nikki wa Pili aliyaandika ili kuwapa husia wasanii wanao kuja kuwa na style yao tofauti katika muziki huu wa Hip Hop pia alielezea ni kwa jinsi gani wasanii wa HipHop wa zamani ambavyo wamekuwa hawafanyi vizuri na mambo mengi alizungumzia kuhusiana na muziki wa Hip Hop Sasa baada ya Cloudsfm kupost Nikki Mbishi akaona na akibidi amjibu Nikki Wa Pili kwa kumwambia Kama wewe unafanya na uko happy nacho then fanya ila...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO

Joh Makini kutoka Weusi ameachia video ya wimbo wake mpya ‘XO’ aliomshirikisha G-Nako. Video imeongozwa na Nisher. Itazame na utuambie maoni yako chini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani