Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

NIKKI WA PILI: SIJAWAHI KUMTUNGIA NGOMA JOH MAKINI

UNAPOZUNGUMZIA makundi ya Hip Hop yanayofanya vizuri kwa sasa ni wazi utalitaja kundi moja maarufu kutoka pande za Arusha, Weusi. Kundi hilo linaongozwa na vichwa vitano vikiwemo, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Nickson Simon (Nikki wa Pili), George Sixtus Mdemu (G Nako), John Simon (Joh Makini) na Bonta. Jamaa wana ngoma nyingi ambazo zote zimeweza kushika chati ikiwa ni pamoja na ya sasa ya Gere, kuanzia ngoma...

 

9 years ago

Bongo5

Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka

joh davido

Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.

joh davido

Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.

Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel

 

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini, G-Nako na Nikki Wa Pili kuachia single 3 mpya wiki Ijayo, 2 zimefanyiwa video na Justin Campos

Rappers wa Weusi wako tayari kulichafua anga la muziki kwa kuachia ngoma tatu mpya wiki Ijayo baada ya uchaguzi. Takribani miezi miwili iliyopita Joh Makini na G-Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, moja ikiwa ni collabo ya Joh na rapper wa Afrika Kusini, AKA ‘Don’t Bother’ na nyingine ni single ya G-Nako iitwayo […]

 

9 years ago

MillardAyo

TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo

Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]

The post TBT:Picha 7 za Joh Makini, Quick Rocka, Vanessa Mdee, Roma, Shilole, Joti na Flaviana Matata…enzi hizo appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Rabbit Ft Joh Makini & G Nako – Najipendelea

Rapper mkali kutoka Kenya Rabbit amefanya kazi na wasanii wakali kutoka Tanzania, Weusi Joh Makini na G Nako wimbo unaitwa ‘Najipendelea’ Producer Sappy

 

10 years ago

Michuzi

NIPENZI VIDEO LAUNCHING - DAMIAN SOUL & JOH MAKINI TODAY @ ESCAPE ONE


When: 07th November 2014
Where: ESCAPE ONETime: 10pm Till late tulivu ( Saa NNE usiku na kuendelea)Live band by DAMIAN SOUL together with his friends from all over the WORLD.Lots of surprise guests to be featured on.Don't afford to miss this LAUNCHING in the coming Friday...There also gonna be HIP HOP, JAZZ, SOUL & AFRO FUSSION...All LIVE with the BandY'ALL WELCOME
Damage 10K (10,000) 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani