Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New Music: Rabbit Ft Joh Makini & G Nako – Najipendelea

Rapper mkali kutoka Kenya Rabbit amefanya kazi na wasanii wakali kutoka Tanzania, Weusi Joh Makini na G Nako wimbo unaitwa ‘Najipendelea’ Producer Sappy

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo

Wimbo mpya kutoka kwa Joh Makini akimshirikisha G Nako wimbo unaitwa “XO” Producer Sappy

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)

Weusi wameachia remix ya hit single yao ‘Gere’ ambapo wamewakusanya miongoni rappers wakali wa Kenya na Uganda. Walioshirikishwa ni pamoja na Naziz, Collo na Rabbit wa Kenya na Navio wa Uganda. Pia kwenye remix hii utamsikia Lord Eyez.

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Izzo Bizness f/ Mwana FA & G-Nako – Shem Lake

Rapper Izzo Bizness ameachia ngoma yake mpya aliyowashirikisha Mwana FA na G-Nako, ‘Shem Lake.’ Idownload hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Jamtz.Com

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

 

9 years ago

Bongo5

Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako

Joh makini na G-Nako ambao wako nchini Afrika Kusini, wamekamilisha kazi iliyowapeleka huko ambayo ni kushoot video mbili. Video ya kwanza ni ya collabo ya Joh Makini na rapper wa Afrika Kusini, AKA ambayo (audio) ilirekodiwa May mwaka huu, rapper huyo alipokuja Tanzania kwenye Zari All White Party. Wimbo huo unaitwa ‘Don’t’ Bother’. Video ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani