New Music: Rabbit Ft Joh Makini & G Nako – Najipendelea
Rapper mkali kutoka Kenya Rabbit amefanya kazi na wasanii wakali kutoka Tanzania, Weusi Joh Makini na G Nako wimbo unaitwa ‘Najipendelea’ Producer Sappy
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo511 Dec
New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo
Wimbo mpya kutoka kwa Joh Makini akimshirikisha G Nako wimbo unaitwa “XO” Producer Sappy
10 years ago
Bongo506 Feb
New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari
Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel
10 years ago
Bongo529 Dec
New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)
Weusi wameachia remix ya hit single yao ‘Gere’ ambapo wamewakusanya miongoni rappers wakali wa Kenya na Uganda. Walioshirikishwa ni pamoja na Naziz, Collo na Rabbit wa Kenya na Navio wa Uganda. Pia kwenye remix hii utamsikia Lord Eyez.
9 years ago
Bongo506 Oct
New Music: Izzo Bizness f/ Mwana FA & G-Nako – Shem Lake
Rapper Izzo Bizness ameachia ngoma yake mpya aliyowashirikisha Mwana FA na G-Nako, ‘Shem Lake.’ Idownload hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Global Publishers18 Dec
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-H6WV--261DI/VIlwW7nsvsI/AAAAAAAABR8/dY7rMT5rLt8/s72-c/Joh%2BMakini%2BXO%2B(1).jpg)
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine
Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine
9 years ago
Bongo525 Aug
Weusi washoot video 2 mpya na Justin Campos, Afrika Kusini. Moja ni ya Joh Makini na nyingine ya G-Nako
Joh makini na G-Nako ambao wako nchini Afrika Kusini, wamekamilisha kazi iliyowapeleka huko ambayo ni kushoot video mbili. Video ya kwanza ni ya collabo ya Joh Makini na rapper wa Afrika Kusini, AKA ambayo (audio) ilirekodiwa May mwaka huu, rapper huyo alipokuja Tanzania kwenye Zari All White Party. Wimbo huo unaitwa ‘Don’t’ Bother’. Video ya […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania