Joh Makini aeleza alichokuwa amepanga kufanya kama AKA asingetokea wakati wa kushoot video ya ‘Don’t Bother’
Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wasanii wakilazimika kushoot video bila wasanii waliowashirikisha kwenye nyimbo zao, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wasanii walioshirikishwa kukosa muda wa kushiriki kwenye video, au kushindwa kuelewana au tu kuamua kuzingua.
Ili kukabiliana na changamoto kama hizo, rapper wa Weusi Joh Makini alijipanga kikamilifu wakati anaenda Afrika Kusini kushoot video ya collabo yake na AKA ‘Don’t Bother’.
Joh amesema kuwa aliandaa version mbili ya wimbo huo ili...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Dec
‘Don’t Bother’ ya Joh Makini imeiathiri ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili? Hili ndio jibu lao
![10475068_580578882090207_1870253540_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10475068_580578882090207_1870253540_n-300x194.jpg)
Mtaani watu wanasema wimbo wa Joh Makini ‘Don’t Bother’ huenda ukawa sababu ya kwanini ‘Baba Swalehe’ ya Nick wa Pili haikupata attention ilivyotarajiwa.
Wengine wanaamini kuwa wimbo huo alioshirikishwa pia rapper wa Afrika Kusini, AKA, huenda ukawa ni mchawi kwa wimbo huo wa Nick wa Pili.
Lakini watu wanasahau kuwa wawili hawa ni ndugu na chochote kinachotokea kati yao ni faida kwa brand yao ya Weusi. Maana yake ni kuwa ni mafanikio ya Joh Makini ni mafanikio ya Nick wa Pili na G-Nako...
9 years ago
Bongo511 Nov
New Video: Joh Makini f/ AKA — Don’t Bother
![11296924_1513239595641919_780639845_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11296924_1513239595641919_780639845_n-300x194.jpg)
Video ya wimbo mpya wa Joh Makini ‘Don’t Bother’ aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini, AKA. Imeongozwa na Justin Campus wa Afrika Kusini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Africanjam.ComNEW VIDEO: JOH MAKINI - DON'T BOTHER ft. AKA (Official Video)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aztCrdoWq7k/default.jpg)
9 years ago
Bongo510 Nov
Video ya wimbo mpya wa Joh Makini ft. AKA ‘Don’t Bother’kutambulishwa MTV Base (Nov.10)
![Joh na AKA MTV](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Joh-na-AKA-MTV-300x194.jpg)
Baada ya Nikki Wa Pili wa Weusi kutambulisha wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ Ijumaa iliyopita, sasa ni zamu ya kaka yake Joh Makini kuwaonesha mashabiki wake wa Tanzania na Afrika kwa ujumla kile alichoenda kufanya Afrika Kusini miezi kadhaa iliyopita.
Video ya wimbo mpya wa Joh Makini aliomshirikisha rapper wa Afrika Kusini ‘AKA’ itatambulishwa kwa mara ya kwanza leo (Nov. 10) saa 12 jioni (saa za Afrika Mashariki) na kituo cha kimataifa cha MTV Base.
‘Don’t Bother’ imetayarishwa na...
9 years ago
Bongo501 Dec
Kassim Mganga aeleza sababu za kushindwa kushoot video ya ‘Subira’ Tanga kama alivyoahidi
![caa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/caa-300x194.jpg)
Mwezi April mwaka huu Kassim Mganga aliahidi kuwa video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella ingefanyika nyumbani kwao Tanga, lakini haikuwa hivyo.
Kassim ameeleza chanzo cha mpango wa kwenda kushoot Tanga kushindikana.
“Video ilikuwa twende kuifanyia Tanga lakini tulishindwa kutokana na nafasi ya Adam,” alisema Kassim kwenye mahojiano na Millard Ayo. “unajua nilikuwa nataka kuipata ile picha ya Pwani kabisa yenyewe halisia na nilitaka twende kuifanya Pangani nyumbani...
9 years ago
Bongo519 Nov
Don’t Bother ya Joh Makini yamshika Mama yake Dully Sykes
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Si vijana tu wanaopagawa na ngoma mpya ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA, ‘Don’t Bother.
Mama yake mzazi na Dully Sykes naye ni shabiki wa ngoma hiyo.
Akizungumza XXL ya Clouds FM, Dully alisema mama yake mara kwa mara amekuwa akijaribu kuuimba wimbo huo unaofanya vizuri kwa sasa.
“Mama yangu anapenda sana hip hop na sasa hivi anapenda sana na ananiimbiaga Don’t Brother,”alisema Dully.
“Don’t Brother ndio nyimbo yake ya Joh Makini. Mama yangu ni shabiki wa Hip hop, ni shabiki mkubwa wa...
9 years ago
Bongo511 Nov
Music: Joh Makini Ft AKA — Don’t Bother
![artist_211246fd61274cdf6f3e529ee18588604d1a](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/artist_211246fd61274cdf6f3e529ee18588604d1a-300x194.jpg)
Wimbo mpya unaitwa “Don’t Bother” wa rapper Joh Makini kutoka kundi la Weusi amemshirikisha rapper kutoka South Afrika AKA, Producer Nahreel
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!