Kassim Mganga aeleza sababu za kushindwa kushoot video ya ‘Subira’ Tanga kama alivyoahidi
Mwezi April mwaka huu Kassim Mganga aliahidi kuwa video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella ingefanyika nyumbani kwao Tanga, lakini haikuwa hivyo.
Kassim ameeleza chanzo cha mpango wa kwenda kushoot Tanga kushindikana.
“Video ilikuwa twende kuifanyia Tanga lakini tulishindwa kutokana na nafasi ya Adam,” alisema Kassim kwenye mahojiano na Millard Ayo. “unajua nilikuwa nataka kuipata ile picha ya Pwani kabisa yenyewe halisia na nilitaka twende kuifanya Pangani nyumbani...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Video ya ‘subira’ ya Kassim Mganga hadharani leo
NA SHARIFA MMASI
BAADA ya kushambuliwa kwa maneno na mashabiki wake wakihitaji video ya wimbo wake wa ‘Subira’, msanii mahiri nchini, Kassim Mganga, leo anatarajiwa kuiachia video hiyo ili kupoza mashabiki wake hao.
Wimbo wa ‘Subira’ ambao Kassim amemshirikisha mkali wa sauti, Christian Bella, unaendelea kufanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio nchini bila ya kuwa na video yake.
“Muda mrefu nimekuwa na kigugumizi juu ya maswali ya mashabiki wangu kuhusu video ya wimbo wa Subira,...
9 years ago
Bongo524 Nov
Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Kassim Mganga ‘Subira’
![Kassim-Mganga-serengeti-fiesta-Mbeya.](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/10/Kassim-Mganga-serengeti-fiesta-Mbeya.-200x133.jpg)
Kassim Mganga amekamilisha video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella, wimbo uliotoka mwanzoni mwa mwaka huu.
Video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma inatarajiwa kutoka Ijumaa hii.
“Muda mrefu sana nimekuwa na kigugumizi juu ya majibu ya maswali yenu kuhusu video ya wimbo wenu pendwa wa #SUBIRA…kazi haikuwa ndogo kukamilisha hii video yote kupata video ya kiwango kinachohitajika machoni mwenu wadau..kazi imekamilika shukran kwa subira yenu wadau,in shaa Allah Ijumaa hii...
9 years ago
Bongo522 Dec
Joh Makini aeleza alichokuwa amepanga kufanya kama AKA asingetokea wakati wa kushoot video ya ‘Don’t Bother’
![Johmakini.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Johmakini.1-300x194.jpg)
Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wasanii wakilazimika kushoot video bila wasanii waliowashirikisha kwenye nyimbo zao, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wasanii walioshirikishwa kukosa muda wa kushiriki kwenye video, au kushindwa kuelewana au tu kuamua kuzingua.
Ili kukabiliana na changamoto kama hizo, rapper wa Weusi Joh Makini alijipanga kikamilifu wakati anaenda Afrika Kusini kushoot video ya collabo yake na AKA ‘Don’t Bother’.
Joh amesema kuwa aliandaa version mbili ya wimbo huo ili...
9 years ago
Bongo510 Dec
Madee aeleza sababu za Mb Dogg kushindwa kufanya vizuri baada ya kuondoka Tip Top
![MB-DOGG](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/MB-DOGG-300x194.jpg)
MB Dogg ni miongoni mwa majina yaliyoshiriki kwenye kuichora ramani iliyotumika kwenye ujenzi wa kiwanda ya muziki wa Bongo fleva miaka kadhaa iliyopita. Hits zake kama Latifah, Si uliniambia, Inamaana na zingine zilimuweka kwenye nafasi za juu kipindi hicho akiwa chini ya Tip Top Connection.
Hivi sasa jina la MB Dogg liko kwenye orodha ya wasanii wa zamani walioshindwa kurudi na kukaa kwenye nafasi zao, na msanii mwenzake Madee wa Tip Top anaifahamu sababu iliyomkwamisha MB Dogg ashindwe...
9 years ago
Bongo527 Nov
Video: Kassim Mganga Feat. Christian Bella – Subira
![Cassim Mganga - Subira](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Cassim-Mganga-Subira-300x194.jpg)
Video ambayo ilikuwa ikisubiliwa kwa mda sana na mashabiki ya wimbo wa “Subira” kutoka kwa msanii Kassim Mganga amemshirikisha Christian Bella. Video imeongozwa na Adam Juma, video imefanyika mkoani Tanga angalia hapa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL08 Jun
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
9 years ago
Bongo502 Dec
Dayna atoa sababu iliyochelewesha kushoot video ya ‘Nitulize’
![Dayna Nyange feat Nay Wa Mitego - 'Nitulize'](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Dayna-Nyange-feat-Nay-Wa-Mitego-Nitulize-300x194.jpg)
Dayna Nyange ameitaja sababu iliyochelewesha kuanza kushoot video ya wimbo wake ‘Nitulize’ aliomshirikisha Nay Wa Mitego’ ambao ulitoka mwezi April mwaka huu.
Muimbaji huyo anayeuwakilisha mkoa wa Morogoro amesema kilichomchelewesha kushoot video hiyo ni uchaguzi.
“Uongozi wangu ulibadilisha ratiba ya kushoot video hiyo ili kupisha uchaguzi upite, kwa sasa kila kitu kimekamilika ila siku ya kuzindua rasmi siitaji maana nataka iwe sapraizi, mashabiki wakae mkao wa kula tu,” alisema...