Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madee aeleza sababu za Mb Dogg kushindwa kufanya vizuri baada ya kuondoka Tip Top

MB-DOGG

MB Dogg ni miongoni mwa majina yaliyoshiriki kwenye kuichora ramani iliyotumika kwenye ujenzi wa kiwanda ya muziki wa Bongo fleva miaka kadhaa iliyopita. Hits zake kama Latifah, Si uliniambia, Inamaana na zingine zilimuweka kwenye nafasi za juu kipindi hicho akiwa chini ya Tip Top Connection.

MB-DOGG

Hivi sasa jina la MB Dogg liko kwenye orodha ya wasanii wa zamani walioshindwa kurudi na kukaa kwenye nafasi zao, na msanii mwenzake Madee wa Tip Top anaifahamu sababu iliyomkwamisha MB Dogg ashindwe...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Madee azungumzia kolabo mpya ya Tip Top na TMK

Muimbaji wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema kuwa kuna kolabo nyingine inakuja kati ya Tip Top na TMK. Akiongea na Bongo5 jana akiwa mkoani Tanga, Madee amesema muda umEfika wa kuachia ngoma ya pamoja kati ya Tip Top na TMK kukamilisha ahadi yao ya kutoa ngoma kila baada ya miaka mitatu. “Hii mipango tulishaipanga kwamba kila […]

 

9 years ago

Bongo5

Kassim Mganga aeleza sababu za kushindwa kushoot video ya ‘Subira’ Tanga kama alivyoahidi

caa

Mwezi April mwaka huu Kassim Mganga aliahidi kuwa video ya wimbo wake ‘Subira’ aliomshirikisha Christian Bella ingefanyika nyumbani kwao Tanga, lakini haikuwa hivyo.

caa

Kassim ameeleza chanzo cha mpango wa kwenda kushoot Tanga kushindikana.

“Video ilikuwa twende kuifanyia Tanga lakini tulishindwa kutokana na nafasi ya Adam,” alisema Kassim kwenye mahojiano na Millard Ayo. “unajua nilikuwa nataka kuipata ile picha ya Pwani kabisa yenyewe halisia na nilitaka twende kuifanya Pangani nyumbani...

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

9 years ago

Bongo5

Barakah Da Prince akanusha madai ya nyimbo alizoandika mwenyewe kushindwa kufanya vizuri

Baraka Da Prince amekanusha taarifa za watu wanaodai kuwa nyimbo anazoandika mwenyewe zinashindwa kufanya vizuri kuliko zile anazoandikiwa. Barakah ameiambia Planet Bongo ya EA Radio, kuwa hakuna nyimbo yake hata moja ambayo haijafanya vizuri. “Ukiona nyimbo yangu iliyosuasua, yaani kila kitu ni airtime, hakunaga kitu kibaya kwa watanzania, kitu wanachokisikia ndio kitu wanachokizoea na kukipenda,” […]

 

9 years ago

Bongo5

Man Walter aeleza kwanini wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri

Mtayarishaji wa muziki, Man Walter amesema wasanii wakongwe wanashindwa kufanya vizuri kutokana na kushindwa kuendana na mfumo wa muziki wa sasa. Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Man Walter alisema wasanii hao wanahitaji ushauri wa ziada ili wafanye vizuri. “Unajua muziki umebadilika sana na wengi wanaoathirika na mfumo huu ni wasanii wakongwe, ndio maana wengi wanashindwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Linah anaamini ‘No Stress’ imeshindwa kufanya vizuri sababu ya uchaguzi

Hitmaker wa Ole Temba, Linah amesema wimbo wake wa No Stress umeshindwa kufanya vizuri kutokana na watu wengi kuwa busy kwenye masuala ya ya kampeni za uchaguzi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa, baada ya hali hiyo amejipanga kuachia wimbo mpya hivi karibuni. “Yeah kweli ‘No Stress’ imeshindwa kufanya vizuri kuliko Ole Temba kama nilivyotarajia kutokana na […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rossie M aeleza alichojifunza baada ya kufanya kazi na Avril

Mwanamuziki chipukizi, Rossie M amesema kufanya kazi na msanii wa Kenya, Avril kupitia wimbo wa Ben Pol, Ningefanyaje, kumemuongezea kitu cha muhimu kwenye muziki na maisha yake. Rossie M aliiambia Bongo5 kwenye interview ya pamoja na wasanii hao kuwa Avril ni ‘rafiki’ wa aina yake. “She is someone that you can talk to,” alisema. “Very […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Janja arejea Tip Top Connection

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani