Madee azungumzia kolabo mpya ya Tip Top na TMK
Muimbaji wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema kuwa kuna kolabo nyingine inakuja kati ya Tip Top na TMK. Akiongea na Bongo5 jana akiwa mkoani Tanga, Madee amesema muda umEfika wa kuachia ngoma ya pamoja kati ya Tip Top na TMK kukamilisha ahadi yao ya kutoa ngoma kila baada ya miaka mitatu. “Hii mipango tulishaipanga kwamba kila […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hzkAU2-iC6M/U1FEToldSDI/AAAAAAAFbsc/oRgUSMSSQkk/s72-c/Chegge-&-Temba-2.gif)
Wanaume TMK,Tip Top Connections kupamba mechi ya Azam,Yanga
![](http://3.bp.blogspot.com/-hzkAU2-iC6M/U1FEToldSDI/AAAAAAAFbsc/oRgUSMSSQkk/s1600/Chegge-&-Temba-2.gif)
Uwepo wa burudani hizo ni sehemu ya mkakati wa mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom ya kuhitimisha msimu wa ligi wa 2013/2014 kwa kishindo na burudani ya aina yake.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom...
9 years ago
Bongo510 Dec
Madee aeleza sababu za Mb Dogg kushindwa kufanya vizuri baada ya kuondoka Tip Top
![MB-DOGG](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/MB-DOGG-300x194.jpg)
MB Dogg ni miongoni mwa majina yaliyoshiriki kwenye kuichora ramani iliyotumika kwenye ujenzi wa kiwanda ya muziki wa Bongo fleva miaka kadhaa iliyopita. Hits zake kama Latifah, Si uliniambia, Inamaana na zingine zilimuweka kwenye nafasi za juu kipindi hicho akiwa chini ya Tip Top Connection.
Hivi sasa jina la MB Dogg liko kwenye orodha ya wasanii wa zamani walioshindwa kurudi na kukaa kwenye nafasi zao, na msanii mwenzake Madee wa Tip Top anaifahamu sababu iliyomkwamisha MB Dogg ashindwe...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbU9euw*eWS3x23gd40ViLJxB8gYzzXZl29O3HfQTNwiF5o4V8WUEGR7GYlOjG7Dm8Z*zDBSKwrwTj1vcwtI7T6j/TMKWANAUMEFAMILY5.jpg?width=650)
TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO
11 years ago
Bongo518 Jul
Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
10 years ago
Mwananchi30 Mar
PIGO:Msiba mzito Tip Top Connection
10 years ago
Bongo529 Mar
Muasisi wa Tip Top Connection Abdul Bonge afariki dunia
11 years ago
CloudsFM02 Jul
News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.
10 years ago
Bongo514 Jan
Bob Junior azungumzia kuchelewa kwa kolabo yake na Chameleone, pamoja na ujio wa ablam ya ‘Ukweli Wangu’