Muasisi wa Tip Top Connection Abdul Bonge afariki dunia
Muasisi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia jana. Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana. Abdul ni kaka yake na Babu Tale na kwa pamoja walianzisha kundi hilo. Mastaa mbalimbali wametumia Instagram kutuma salamu zao za rambi rambi. “Nimesikia habari za msiba wa my brother Abdu Bonge jana usiku nimesikitika kweli.Nimefanya kazi na Abdu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nNr72EkJu3Ql9hsYaoTy68FdAUBVlBwWET6evsHQ4O44OIMqLZUQytpFFVFxjyAxFxoJfyFYibXI4y5XQNSMZP/bonge.jpg)
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mwananchi30 Mar
PIGO:Msiba mzito Tip Top Connection
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
11 years ago
CloudsFM02 Jul
News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.
9 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena
![Z Anto na Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-Anto-na-Babu-Tale-94x94.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbU9euw*eWS3x23gd40ViLJxB8gYzzXZl29O3HfQTNwiF5o4V8WUEGR7GYlOjG7Dm8Z*zDBSKwrwTj1vcwtI7T6j/TMKWANAUMEFAMILY5.jpg?width=650)
TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-68cCzxB8Ukg/VRhjxfXm70I/AAAAAAAABa4/00M1-URGM20/s72-c/15.jpg)
HAKIKA ABDU BONGE ALIKUWA KIPENZI CHA WATU MAJONZI NA HUZUNI VYA TAWALA TIP TOP
![](http://2.bp.blogspot.com/-68cCzxB8Ukg/VRhjxfXm70I/AAAAAAAABa4/00M1-URGM20/s640/15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6e_GFB9YDDs/VRhMx62F-UI/AAAAAAAABY0/tjOxlfL4gMw/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNJ8DVorguU/VRhNJcNbVJI/AAAAAAAABY8/pOh43pXA1gM/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lJ7VaA8wK48/VRhRt4See7I/AAAAAAAABZU/rUuASTDfbgM/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z-1EZO-8tsA/VRhTyM0UNgI/AAAAAAAABZs/SWfw5I9oHQ0/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9yl0im4LtP0/VRhqOL80bCI/AAAAAAAABcg/LFk8wAIWbnM/s640/25.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ssT3ZzKuU8A/VRhqLsRRFfI/AAAAAAAABcU/8t4xjM7fLO0/s640/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJi-KnINKqI/VRhqLSIh2LI/AAAAAAAABcQ/b6mX4mGmkcs/s640/27.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2PDVGiQ9UZc/VRhqW9qR01I/AAAAAAAABco/kc9oSMjzCu0/s640/28.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ag3UnOZfXFI/VRhqXMtcqeI/AAAAAAAABcs/mqknyCG7-QI/s640/29.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nilr5hGgjos/VRhqX2G7ssI/AAAAAAAABc0/sZ3ShRHuob4/s640/30.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zopq3w3NOkg/VRhqeBFan1I/AAAAAAAABdA/sM7QQRo6PHQ/s640/31.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wd93LW20Y3Q/VRhUYuXkcqI/AAAAAAAABZ0/Afu3uGRbKMU/s640/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jmXxqXzNl4I/VRhU-nlXqWI/AAAAAAAABaA/gMXs-HtlYSg/s640/8.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Muasisi Chama cha Washereheshaji afariki dunia
MMOJA wa Waasisi wa Chama cha Washereheshaji nchini (Sherehe Arts Association – SAA) na Mweka Hazina wa kwanza wa chama hicho, MC Frank Kavemba, amefariki dunia Jumamosi, akiwa kwenye Hospitali...
10 years ago
CloudsFM30 Mar
Abdul Bonge kuzikwa leo mkoani Morogoro
Mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, marehemu Abdul Shaban Tale Tale 'Abdu Bonge' anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao,Matombo mkoani Morogoro.
Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge akiwa maskani ya Tip Top Connection iliyopo Magomeni-Kagera alifuatwa na kijana mmoja na kuambiwa rafiki yake aitwaye Nassoro Idd alikuwa akipigana na mkewe hivyo aliagizwa na...