Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAKIKA ABDU BONGE ALIKUWA KIPENZI CHA WATU MAJONZI NA HUZUNI VYA TAWALA TIP TOP

Diamond akiwa na manager wake wakiwa kwenye msiba wa kaka yake babu Tale Msanii wa Bongo Movie NIVAakiwa na Meneja Masoko AccessBank Mr Muganyizi katika msiba  Msanii wa hip hop kutoka tamaduni muziki Sterio akiwa na Jabir mtangazaji wa TimesFm Koba mwanamuziki kutoka morogoro akiwa msibani Mirrow kutoka EndlessFame akiwa na Petman Wakuache  Jordan na Ali Runa  Master J pamoja na Diamond Platnumz Pnc akiwa na Best naso  Mr Muganyizi pamoja na wasanii Koba ,Jabir wa Times FM Shetta ,Diamond,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Muasisi wa Tip Top Connection Abdul Bonge afariki dunia

Muasisi wa Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia jana. Chanzo cha kifo chake bado hakijajulikana. Abdul ni kaka yake na Babu Tale na kwa pamoja walianzisha kundi hilo. Mastaa mbalimbali wametumia Instagram kutuma salamu zao za rambi rambi. “Nimesikia habari za msiba wa my brother Abdu Bonge jana usiku nimesikitika kweli.Nimefanya kazi na Abdu […]

 

10 years ago

Mtanzania

Abdu Bonge kuzikwa leo Mkuyuni, Morogoro

NA FARAJA MASINDE
MWILI wa aliyekuwa mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdul TaleTale (Abdu Bonge), unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Mkuyuni mkoani Morogoro.
Wakati mwanzilishi huyo wa Tip Top akizikwa leo, msanii wa vichekesho aliyetambulika kwa jina la Defender amezikwa jana katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar es Salaam.
Kifo cha msanii huyo kinadaiwa kimetokana na matatizo ya figo.
Kiongozi wa kundi la Mkubwa na Wanae, Saidi Fella, aliliambia MTANZANIA kwamba,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za msiba nyumbani kwa aliyekuwa Meneja wa TIPTOP Connection Abdu Bonge

Abdu Bonge alifariki jana Nyumbani majira ya Jioni alipokuwa akiamulia ugomvi wa watu wake wa karibu ndipo alianguka vibaya kwenye sakafu na kupoteza maisha, Mwili bado uko hospitali kwa uchunguzi zaidi na taratibu zikikamilika kesho mwili utasafirishwa kuelekea Morogoro Mbuyuni Kilometa takribani 100 kutokea Morogoro Mjini ambako ni Nyumbani kwa Marehemu. kwa sasa msiba upo Magomeni Njiapanda ya Kagera maskani ya Tiptop Connection.PICHA ZAIDI INGIA >>HARAKATI ZA BONGO

 MB Doggy...

 

10 years ago

Mwananchi

PIGO:Msiba mzito Tip Top Connection

Vilio na simanzi vimetawala katika tasnia ya muziki nchini baada ya kuondokewa na aliyekuwa mwasisi na meneja wa kundi la muziki la Tip Top Connection, Abdul Bonge, aliyefariki dunia ghafla Jumamosi jioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Janja arejea Tip Top Connection

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...

 

10 years ago

Bongo5

Madee azungumzia kolabo mpya ya Tip Top na TMK

Muimbaji wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema kuwa kuna kolabo nyingine inakuja kati ya Tip Top na TMK. Akiongea na Bongo5 jana akiwa mkoani Tanga, Madee amesema muda umEfika wa kuachia ngoma ya pamoja kati ya Tip Top na TMK kukamilisha ahadi yao ya kutoa ngoma kila baada ya miaka mitatu. “Hii mipango tulishaipanga kwamba kila […]

 

11 years ago

CloudsFM

News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection

Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.

 

11 years ago

Michuzi

Wanaume TMK,Tip Top Connections kupamba mechi ya Azam,Yanga

 Makundi mawili maarufu ya muziki wa kizazi kipya nchini TMK family na Tip Top Connections wanatarajiwa kupamba mechi za ligi kuu Vodacom ya Simba na Yanga na ile ya Azam FC dhidi ya JKT Ruvu inayochezwa kesho Jumamosi jijini dar es salaam.

Uwepo wa burudani hizo ni sehemu ya mkakati wa mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom ya kuhitimisha msimu wa ligi wa 2013/2014 kwa kishindo na burudani ya aina yake.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom...

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai Babu Tale hakuwa ‘kiongozi’ wakati yupo Tip Top

12063201_825333404252455_334874297_nCassim Mganga amezungumza kwa kwanza sababu ya kuondoka Tip Top Connection ambapo amemtuhumu Babu Tale kuwa hakuwa kiongozi mzuri kwake. Cassim alikiambia kipindi cha Mkasi kuwa hakufurahishwa na maisha aliyoishi Tip Tip ndio maana aliamua kuondoka. “Toka nimeondoka Tip Top Tale hajawahi kuniletea deal hata moja,” alisema. “Kwenye familia yoyote hakukosi migogoro, mzazi usipokuwa strong […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani