Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM02 Jul
News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
PIGO:Msiba mzito Tip Top Connection
10 years ago
Bongo529 Mar
Muasisi wa Tip Top Connection Abdul Bonge afariki dunia
9 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena
![Z Anto na Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-Anto-na-Babu-Tale-94x94.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbU9euw*eWS3x23gd40ViLJxB8gYzzXZl29O3HfQTNwiF5o4V8WUEGR7GYlOjG7Dm8Z*zDBSKwrwTj1vcwtI7T6j/TMKWANAUMEFAMILY5.jpg?width=650)
TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRt5Sl1mOFDAn0Sb8oK0VFigj7QeHyVRRCrzRNz4Cys7Fiup2r6Vbt7pc6qvFSWESGDdj0OuXpn8ekPWb*b-Tkz/dogo.jpg)
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
9 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...