Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
Dogo Janja anafanya muziki, lakini kutokana na biashara ya muziki kuwa haina uhakika wa lini msanii ataingiza kiasi gani kama ilivyo kwa wafanyakazi wenye uhakika wa mshahara kila mwisho wa mwezi, anacho kitu kingine ambacho anakifanya kumuongezea kipato. Janjaro ambaye anafanya kazi chini ya Madee na Tip Top Connection, amesema kuwa anafanya biashara ndogo ndogo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo508 Aug
Dogo Janja apiga chini masomo ya sekondari, aamua kusomea muziki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRt5Sl1mOFDAn0Sb8oK0VFigj7QeHyVRRCrzRNz4Cys7Fiup2r6Vbt7pc6qvFSWESGDdj0OuXpn8ekPWb*b-Tkz/dogo.jpg)
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
10 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK4cokKbSHu2G2TFxgKqJDI-9FYICOWu235BZKKXREcJ4iyl8FYFSiYrzASrfC9CDBPncTjOhujP6dFTbUjSEzUy/dogojan.jpg?width=650)
DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
9 years ago
Bongo522 Oct
Usimchokoze Dogo Janja, amejifunza karate kwa miaka mitatu
11 years ago
CloudsFM02 Jul
News:Dogo Janja arudi rasmi Tip Top Connection
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janja ameAkifunguka kupitia XXL Clouds Fm Radio alisema kuwa ameona muziki wake hauendi sawa baada ya kuondoka kwenye kundi hilo ambapo sasa hivi yupo chini ya Meneja Babu Tale.rudi rasmi kwenye kundi lake la zamani Tip Top Conection baada ya kuzunguuka katika makundi tofauti tofauti.