Dogo Janja apiga chini masomo ya sekondari, aamua kusomea muziki
Rapper wa Arusha aliyerejea tena Tip Top Connection, Dogo Janja amedai kuwa haoni umuhimu wa kuendelea na masomo ya sekondari na hivyo ameamua kusomea muziki. Akizungumza na Bongo5 jana akiwa jijini Mwanza kwaajili ya Serengeti Fiesta 2014, Dogo Janja amedai kuwa tayari ameshaanza mafunzo ya kutumia vyombo vya muziki kama vinanda. “Mimi napenda sana muziki, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRt5Sl1mOFDAn0Sb8oK0VFigj7QeHyVRRCrzRNz4Cys7Fiup2r6Vbt7pc6qvFSWESGDdj0OuXpn8ekPWb*b-Tkz/dogo.jpg)
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK4cokKbSHu2G2TFxgKqJDI-9FYICOWu235BZKKXREcJ4iyl8FYFSiYrzASrfC9CDBPncTjOhujP6dFTbUjSEzUy/dogojan.jpg?width=650)
DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
9 years ago
Bongo524 Oct
Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake
9 years ago
Bongo527 Aug
Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao