Ni marafuku wa Dogo Janja kufanya haya kwa wazazi wake
Dogo Janja hawezi kutoboa masikio au kujichora tattoo kama wasanii wengi wanavyofanya – lasivyo hatoweza kukanyaga kwao! Rapper huyo wa Arusha amesema akithubutu kufanya hivyo atakuwa ameikosea sana familia yake. “Baba yangu na mama yangu wakati naingia kwenye muziki waliniambia fanya muziki lakini usije ukatoboa masikio, usije ukachora tattoo,” alikiambia kipindi cha Siz Kitaa cha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Oct
Usimchokoze Dogo Janja, amejifunza karate kwa miaka mitatu
11 years ago
GPL
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Dogo Janja arejea Tip Top Connection
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’ amerejea tena jijini Dar es Salaam katika kundi la Tip Top Connection baada ya kuwa mbali na kundi hilo...
11 years ago
CloudsFM13 Aug
DOGO JANJA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHA SHULE
Msanii wa Bongo Fleva,Dogo Janjaro ambaye aliwahi kuwa kwenye kundi la TipTop Connection baada ya kutofautiana na Madee hadi akafunguka kwenye media kuwa alikuwa ananyonywa,lakini sasa hivi amerudi tena kwenye kundi hilo na hivi karibuni alipafomu kwenye jukwaa la fiesta jijini Mwanza.
Msanii huyo mwaka juzi alikuwa anasoma katika shule fulani ya sekondari jijini Dar, lakini hivi karibuni pia alifunguka rasmi kuwa ameamua kuachana na masomo ya sekondari akiwa kidato cha pili kwa kile...
10 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
11 years ago
GPL
DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
10 years ago
Bongo527 Aug
Dogo Janja: Naogopa kumwanika mpenzi wangu kwenye mitandao