DOGO JANJA, ASLAY WAVUNJA UCHUMBA WA MTU MTWARA
![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK4cokKbSHu2G2TFxgKqJDI-9FYICOWu235BZKKXREcJ4iyl8FYFSiYrzASrfC9CDBPncTjOhujP6dFTbUjSEzUy/dogojan.jpg?width=650)
Na Chande Abdallah na Nyemo Chilongani MADOGO wanaotikisa katika ulimwengu wa muziki Bongo, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ na Asilahi Isihaka ‘Aslay’ wamedaiwa kuvunja uchumba wa jamaa aliyefahamika kwa jina la Fikiri Chodas na Farida. Asilahi Isihaka ‘Aslay’. Tukio hilo lilitokea usiku wa Machi 7, mwaka huu, Newala mkoani Mtwara wakati wasanii hao walipokuwa wamekwenda kufanya ziara ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Dogo Aslay alikataa jina lake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, amesema kutokana na umri wake kusogea, angependa kuitwa Aslay. Aslay anayetamba na wimbo wa ‘Ya Moto’ ambao umeimbwa na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Dogo Aslay aja na ‘Wacha Waseme’
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Asilahi Isihaka ‘Dogo Aslay’, anatarajiwa kuachia kibao kipya kinachojulikana kwa jina la ‘Wacha Waseme’ hivi karibuni. Dogo Aslay anayetamba na wimbo wake mpya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRt5Sl1mOFDAn0Sb8oK0VFigj7QeHyVRRCrzRNz4Cys7Fiup2r6Vbt7pc6qvFSWESGDdj0OuXpn8ekPWb*b-Tkz/dogo.jpg)
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
9 years ago
Mtanzania14 Sep
Mama wa Dogo Aslay azikwa Dar
NA MELCKZEDECK SIMON
MSANII kiongozi wa kundi la Yamoto Band, Aslay Isihack ‘Dogo Aslay’ jana alijumuika na wadau mbalimbali wa sanaa kumzika mama yake mzazi, Moza Mohammed aliyefariki juzi hospitali ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Mama wa msanii huyo alifariki jana asubuhi katika Hospitali ya Temeke, alipokuwa amelazwa.
Wadau mbali mbali wa muziki walimpa pole msanii huyo kutokana na kuondokewa na mama yake kipenzi ambaye alimtimizia kumjengea nyumba kutokana na kipato chake cha...
9 years ago
AllAfrica.Com14 Sep
Bongo Star Dogo Aslay Loses Mum
AllAfrica.com
Aslay lost his mother, Moza Mohamed, at Temeke hospital in Dar es Salaam, where she succumbed to high blood pressure. She was laid to rest yesterday. Several Tanzanian artistes and promoters including Diamond Platnumz, managers Babu Tale, ...
11 years ago
GPLDOGO JANJA SHULE NDIYO KILA KITU
9 years ago
Bongo522 Sep
Nje ya muziki mimi ni mfanyabiashara — Dogo Janja
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...
10 years ago
Bongo Movies04 Jun
Dogo Aslay: Nitakupwelepweta Hajaimbiwa Wema Sepetu
Mwanamuziki Aslay Isihaka kutoka katika kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi kuwa anasumbuliwa sana na watoto wa kike ndiyo maana ameamua kuweka mahusiano yake wazi, Aslay alifunguka hayo alipokuwa akichat Live katika kipengele cha Kikaangoni Livekupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Aslay alisema kuwa moja ya sababu iliyomfanya kumuweka wazi mpenzi wake huyo ni kutaka kutoa ujumbe kwa wale ambao wanamsumbua kuwa waache kufanya hivyo kwani tayari ana mtu ambae yeye...