Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Abdu Bonge kuzikwa leo Mkuyuni, Morogoro

NA FARAJA MASINDE
MWILI wa aliyekuwa mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdul TaleTale (Abdu Bonge), unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Mkuyuni mkoani Morogoro.
Wakati mwanzilishi huyo wa Tip Top akizikwa leo, msanii wa vichekesho aliyetambulika kwa jina la Defender amezikwa jana katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar es Salaam.
Kifo cha msanii huyo kinadaiwa kimetokana na matatizo ya figo.
Kiongozi wa kundi la Mkubwa na Wanae, Saidi Fella, aliliambia MTANZANIA kwamba,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Abdul Bonge kuzikwa leo mkoani Morogoro

Mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, marehemu Abdul Shaban Tale Tale 'Abdu Bonge' anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao,Matombo mkoani Morogoro.

Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge akiwa maskani ya Tip Top Connection iliyopo Magomeni-Kagera alifuatwa na kijana mmoja na kuambiwa rafiki yake aitwaye Nassoro Idd alikuwa akipigana na mkewe hivyo aliagizwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND THE PLATNUMZ NA ZARI WAHUDHURIA KWENYE MSIBA WA ABDUL BONGE JIJINI MOROGORO MKUYUNI


Diamond Platinum akiwa kweny mazishi ya Abdu Bonge Mkoani Morogoro leo.Diamond Platinum Ameongozana na Mpenzi wake Zari the Big boss kwenye Mazishi ya Aliyekuwa Mwanzilishi wa Kundi la Tip top Marehemu Abdul Bonge Aliyefariki Majuzi na Mwili wake kusafirishwa kwenda Morogoro Tayari kwa Mazishi yanayofanyika Mkuyuni Mkoani Morogoro.haya kama utakuwa unaufahamu na kumbukumbu nzuri kumekuwa na tuhuma za kuskika yakuwa diamond the platnumz huwa hana kawaida ya kuhudhuria kwenye misiba ya...

 

10 years ago

GPL

MAMIA WAMZIKA ABDUL BONGE KIJIJINI KWAO MKUYUNI, MATOMBO MKOANI MORO

Maziko ya Mwanzilishi na aliyewahi kuwa Meneja wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge yakifanyika leo kijijini kwao Mkuyuni, Matombo mkoani Morogoro. Mwili wa Abdul Bonge ukiombewa kabla ya maziko leo. Wanamuziki mbalimbali wakiwemo Shetta, Diamond Platnumz,…

 

10 years ago

Mtanzania

Baba wa Babu Tale azikwa Mkuyuni Morogoro

TaleNA THERESIA GASPER
BABA mzazi wa Meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, Babu Tale, amezikwa jana kijijini kwao Mkuyuni, mjini Morogoro.
Baada ya mazishi hayo, baadhi ya wasindikizaji walirejea jijini Dar es Salaam kuendelea na shughuli zao na mipango mingine ya kumaliza msiba.
Msanii wa kundi hilo, Madee, alisema baada ya mazishi wote watarejea jijini Dar es Salaam, ambapo itasomwa dua ya kuhitimisha msiba huo nyumbani kwa Babu Tale, Magomeni Kagera.
“Tupo njiani kuelekea Morogoro kwa ajili ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za msiba nyumbani kwa aliyekuwa Meneja wa TIPTOP Connection Abdu Bonge

Abdu Bonge alifariki jana Nyumbani majira ya Jioni alipokuwa akiamulia ugomvi wa watu wake wa karibu ndipo alianguka vibaya kwenye sakafu na kupoteza maisha, Mwili bado uko hospitali kwa uchunguzi zaidi na taratibu zikikamilika kesho mwili utasafirishwa kuelekea Morogoro Mbuyuni Kilometa takribani 100 kutokea Morogoro Mjini ambako ni Nyumbani kwa Marehemu. kwa sasa msiba upo Magomeni Njiapanda ya Kagera maskani ya Tiptop Connection.PICHA ZAIDI INGIA >>HARAKATI ZA BONGO

 MB Doggy...

 

11 years ago

Michuzi

Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro

Sehemu ya wachezaji mpira wa sasa na wazamani wakiwa wamesimama pembeni ya Jeneza lenye Mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Timu ya Simba miaka ya nyuma,Marehemu Gebbo Peter aliefariki jana kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.hapa wakiwa nyumbani kwake Vingunguti tayari kwa safari ya kwenda kwenye maziko yake Kigurunyembe mkoani Morogoro (Picha na Evance Ng'ingo)
Wadau mbali mbali wa soka wakiwemo viongozi wa soka wakipita kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKIKA ABDU BONGE ALIKUWA KIPENZI CHA WATU MAJONZI NA HUZUNI VYA TAWALA TIP TOP

Diamond akiwa na manager wake wakiwa kwenye msiba wa kaka yake babu Tale Msanii wa Bongo Movie NIVAakiwa na Meneja Masoko AccessBank Mr Muganyizi katika msiba  Msanii wa hip hop kutoka tamaduni muziki Sterio akiwa na Jabir mtangazaji wa TimesFm Koba mwanamuziki kutoka morogoro akiwa msibani Mirrow kutoka EndlessFame akiwa na Petman Wakuache  Jordan na Ali Runa  Master J pamoja na Diamond Platnumz Pnc akiwa na Best naso  Mr Muganyizi pamoja na wasanii Koba ,Jabir wa Times FM Shetta ,Diamond,...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA ABDUL BONGE UTATA MTUPU, KUZIKWA MORO

Umati wa vijana ukiwa hauamini kutokea kwa kifo cha Abdul Bonge. Meneja wa TMK Wanaume Family, Yamoto Band na Diamond, Said Fella akiwaeleza kinachoendelea baadhi ya mastaa waliofika msibani hapo. Msanii wa filamu za Kibongo, Baba Haji, akiwaelekeza wenzake ulipo msiba.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA SHERRY MAGALI WAAGWA NA KUZIKWA JANA MOROGORO

Mwili wa marehemu Sherry ukitolewa nje ya kanisa la Mtakatifu Patriki, Morogoro baada ya kuombewa.
Baadhi ya waombolezaji wakiwa nje ya kanisa ukiongozwa na mama wa marehemu, Flora Msiba mwenye kilemba cheupe .…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani