Abdul Bonge kuzikwa leo mkoani Morogoro
Mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, marehemu Abdul Shaban Tale Tale 'Abdu Bonge' anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao,Matombo mkoani Morogoro.
Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge akiwa maskani ya Tip Top Connection iliyopo Magomeni-Kagera alifuatwa na kijana mmoja na kuambiwa rafiki yake aitwaye Nassoro Idd alikuwa akipigana na mkewe hivyo aliagizwa na...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Abdu Bonge kuzikwa leo Mkuyuni, Morogoro
NA FARAJA MASINDE
MWILI wa aliyekuwa mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdul TaleTale (Abdu Bonge), unatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Mkuyuni mkoani Morogoro.
Wakati mwanzilishi huyo wa Tip Top akizikwa leo, msanii wa vichekesho aliyetambulika kwa jina la Defender amezikwa jana katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar es Salaam.
Kifo cha msanii huyo kinadaiwa kimetokana na matatizo ya figo.
Kiongozi wa kundi la Mkubwa na Wanae, Saidi Fella, aliliambia MTANZANIA kwamba,...
10 years ago
GPLKIFO CHA ABDUL BONGE UTATA MTUPU, KUZIKWA MORO
10 years ago
Vijimambo01 Apr
DIAMOND THE PLATNUMZ NA ZARI WAHUDHURIA KWENYE MSIBA WA ABDUL BONGE JIJINI MOROGORO MKUYUNI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-tAX_nlQFQwI%2FVRphrmI4keI%2FAAAAAAAART0%2FTbz7m6aHZps%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792477433.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Diamond Platinum akiwa kweny mazishi ya Abdu Bonge Mkoani Morogoro leo.Diamond Platinum Ameongozana na Mpenzi wake Zari the Big boss kwenye Mazishi ya Aliyekuwa Mwanzilishi wa Kundi la Tip top Marehemu Abdul Bonge Aliyefariki Majuzi na Mwili wake kusafirishwa kwenda Morogoro Tayari kwa Mazishi yanayofanyika Mkuyuni Mkoani Morogoro.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-4BRzPB77vNw%2FVRphxYRVDMI%2FAAAAAAAART8%2F2cK-3J7IlGw%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792497346.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPLMAMIA WAMZIKA ABDUL BONGE KIJIJINI KWAO MKUYUNI, MATOMBO MKOANI MORO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s72-c/Gebo+kuagwa+2.jpg)
Mwili wa Marehemu Gebbo Peter waagwa leo nyumbani kwake Vingunguti,Kuzikwa kijijini kwao Kigurunyembe mkoani Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-_I19nvPA2_U/U5LWuwi80zI/AAAAAAAFoS8/CpX3WEU6W-Q/s1600/Gebo+kuagwa+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vqhnz2On3e8/U5LXEY1tDrI/AAAAAAAFoTs/rDBFcKbHCVs/s1600/gebo+kuwagwa+8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4f7ggvZ2Nqc/U5LW0cuv8AI/AAAAAAAFoTI/3e3iEd3LKNs/s1600/gebo+kuagwa+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pR7fzHuKxrQ/U5LW5cGnJRI/AAAAAAAFoTU/i8FlWGZ1eoc/s1600/gebo+kuagwa+6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YP8dvxDe2cg/VMHzLnslr2I/AAAAAAAG_II/DdejD6VzoYQ/s72-c/download.jpg)
Mflame Abdullah bin Abdul-Aziz wa Saudia kuzikwa leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-YP8dvxDe2cg/VMHzLnslr2I/AAAAAAAG_II/DdejD6VzoYQ/s1600/download.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nNr72EkJu3Ql9hsYaoTy68FdAUBVlBwWET6evsHQ4O44OIMqLZUQytpFFVFxjyAxFxoJfyFYibXI4y5XQNSMZP/bonge.jpg)
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPLMWILI WA ABDUL BONGE WAHAMISHIWA MUHIMBILI KWA UCHUNGUZI
10 years ago
CloudsFM01 Apr