Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume TMK,Tip Top Connections kupamba mechi ya Azam,Yanga

 Makundi mawili maarufu ya muziki wa kizazi kipya nchini TMK family na Tip Top Connections wanatarajiwa kupamba mechi za ligi kuu Vodacom ya Simba na Yanga na ile ya Azam FC dhidi ya JKT Ruvu inayochezwa kesho Jumamosi jijini dar es salaam.

Uwepo wa burudani hizo ni sehemu ya mkakati wa mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom ya kuhitimisha msimu wa ligi wa 2013/2014 kwa kishindo na burudani ya aina yake.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TMK WANAUME, TIP TOP CONNECTION, MASHAUZI CLASSIC NA YAMOTO BAND KUIPAMBA BIRTHDAY PARTY YA MHE. TEMBA LEO

Amani Temba 'Mhe. Temba'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la TMK Wanaume Family, Amani Temba 'Mhe. Temba' leo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Yamoto Band. Sherehe hiyo itafanyika leo saa 3 usiku katika Ukumbi wa Equator Grill ulioko Mtoni jijini Dar ambapo burudani zitashushwa kutoka kwa Tmk Wanaume Family, Tip Top Connection, Mashauzi Classic na Yamoto Band. … ...

 

10 years ago

Bongo5

Madee azungumzia kolabo mpya ya Tip Top na TMK

Muimbaji wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema kuwa kuna kolabo nyingine inakuja kati ya Tip Top na TMK. Akiongea na Bongo5 jana akiwa mkoani Tanga, Madee amesema muda umEfika wa kuachia ngoma ya pamoja kati ya Tip Top na TMK kukamilisha ahadi yao ya kutoa ngoma kila baada ya miaka mitatu. “Hii mipango tulishaipanga kwamba kila […]

 

9 years ago

Mwananchi

‘Utatu’ huu kumaliza mechi Azam, Yanga

Dar es Salaam.  Baada ya tambo za muda mrefu kuhusu ubora wa vikosi vyao, Azam na Yanga zina silaha hatari tatu kila moja zinazoweza kumaliza mechi mapema.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam go top as Yanga draw

Azam FC moved to the top of the Vodacom Premier League table thanks to a 1-0 victory over Rhino Rangers at Chamazi Complex yesterday.

 

9 years ago

Michuzi

MECHI YA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA HIVI SASA

Mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Amis Tambwe akiondoka na mpira mara baada ya kumpiga chenga ya mwili Beki wa Timu ya Azam, Pascal Wawa (aliekaa chini) wakati wa mtangange wa kuwania Ngao ya Jamii ya Ufungunguzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, unaopigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, hakuna timu iliyoona lango la mwenzie mpaka dakika hii.Kiungo machachari wa Azam, Farid Mussa akiangalia namna ya kumtoka, Geofrey Mwashiuya wa Yanga, wakati wa mtangange wa kuwania Ngao ya...

 

11 years ago

GPL

Kocha Simba aipigia dua mechi ya Yanga na Azam FC

Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
KILA shabiki anaitakia ushindi timu yake kwenye mtanange wa Yanga dhidi ya Azam leo, lakini Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema anaomba mechi hiyo iishe kwa sare. Loga ambaye timu yake inashika nafasi ya nne ikiwa na pointi 36, anaamini sare tu ndiyo inaweza kuipa ahueni ya kutwaa ubingwa msimu huu. Akifafanua kauli yake hiyo, alisema kwamba timu hizo zikitoka...

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Azam leapfrog Yanga to the top

Azam FC bounced back to the pilot’s seat of the Mainland Premier League with a 1-0 win over Ndanda FC in an exciting match at Azam Complex yesterday.

 

10 years ago

TheCitizen

Yanga, Simba draw, Azam go top

Tension both on the pitch and outside dominated as traditional arch-rivals, Young Africans and Simba SC drew 0-0 in a match of the ongoing Tanzania Mainland Premier League.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga, Azam in top of table clash

All roads will lead to the National Stadium this evening as the Vodacom Premier League resumes.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani