‘Utatu’ huu kumaliza mechi Azam, Yanga
Dar es Salaam. Â Baada ya tambo za muda mrefu kuhusu ubora wa vikosi vyao, Azam na Yanga zina silaha hatari tatu kila moja zinazoweza kumaliza mechi mapema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MECHI YA YANGA NA AZAM UWANJA WA TAIFA HIVI SASA


11 years ago
GPL
Kocha Simba aipigia dua mechi ya Yanga na Azam FC
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Hans Mloli
KILA shabiki anaitakia ushindi timu yake kwenye mtanange wa Yanga dhidi ya Azam leo, lakini Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, amesema anaomba mechi hiyo iishe kwa sare. Loga ambaye timu yake inashika nafasi ya nne ikiwa na pointi 36, anaamini sare tu ndiyo inaweza kuipa ahueni ya kutwaa ubingwa msimu huu. Akifafanua kauli yake hiyo, alisema kwamba timu hizo zikitoka...
11 years ago
Michuzi
Wanaume TMK,Tip Top Connections kupamba mechi ya Azam,Yanga

Uwepo wa burudani hizo ni sehemu ya mkakati wa mdhamini mkuu wa ligi hiyo kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom ya kuhitimisha msimu wa ligi wa 2013/2014 kwa kishindo na burudani ya aina yake.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom...
11 years ago
Michuzi
KIINGILIO KATIKA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA AZAM NA YANGA NI BUKU 5 TU!

Mechi hiyo itaanza saa 10 kamili jioni, na kiingilio hicho cha sh. 5,000 ni kwa viti vya rangi ya kijani na bluu vitakavyochukua jumla ya watazamaji 36,000 katika uwanja huo wenye viti 57,558.
Viingilio vingine katika mechi hiyo ambayo itatumia tiketi za elektroniki ni sh. 10,000 kwa viti vya...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Huu ni utatu hatari TPA
MSHITUKO: Si siri kuwa Watanzania wote wazalendo tulipata mshituko mkubwa Januari 2 mwaka huu wa 2014 kutokana na utatu batili wa Waziri anayeheshimika sana, Harrison Mwakyembe, Kaimu Mkurugenzi wa Bandari,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania