Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu ni utatu hatari TPA

MSHITUKO:  Si siri kuwa Watanzania wote wazalendo tulipata mshituko mkubwa Januari 2 mwaka huu wa  2014 kutokana na utatu batili wa Waziri anayeheshimika sana, Harrison Mwakyembe, Kaimu Mkurugenzi wa Bandari,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Utatu Huu Umewapendeza Wengi

Naweza sema kwa siku ya leo picha hii ndio iliyopata “comments” na “Likes” nyingi zaidi kuliko picha zote zawaigizaji zilitupiwa leo  mtandaoni. Nipicha inayowajumuisha mastaa watatu ambao ni waigizaji wa filamu maarufu hapa Bongo, amabao ni Kajala,Tausi na Wolper.

Mashakibi wengi wameonekana kivutiwa zaidi na picha hii kwani ndani ya muda mfupi picha hizi zilipata Likes zaidi ya elfu tano na comment zaidi ya mia tatu.

Wote kwapamoja, Kajala na Wolper waliziweke picha hizi kwenye kurasa za...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Utatu’ huu kumaliza mechi Azam, Yanga

Dar es Salaam.  Baada ya tambo za muda mrefu kuhusu ubora wa vikosi vyao, Azam na Yanga zina silaha hatari tatu kila moja zinazoweza kumaliza mechi mapema.

 

9 years ago

Global Publishers

Kwa uozo huu TRA na TPA, mahakama ya mafisadi ije fasta!

pombeZIARA za kushtukiza za Rais John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika taasisi mbili tu za TRA na TPA zimewaonesha Watanzania jinsi ambavyo baadhi ya watumishi wa serikali wanavyotumia ofisi za umma kujiingizia vipato vya mabilioni ya shilingi kwa njia haramu.

Kama mtu mmoja ameweza kukutwa akimiliki nyumba zaidi ya sabini ni wazi kuwa wapo maelfu ya watumishi hao wenye majumba kibao, miradi, kampuni na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zinazotokana na mapato ambayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgongano huu wa mihimili ni hatari

Wiki hii tumeshuhudia mgongano wa mihimili mitatu ya nchi uliotokana na kitendo cha Jeshi la Polisi kumpeleka mahakamani mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kupanga njama za kukusanyika na baadaye kukusanyika na kufanya mkutano wa hadhara bila ya kibali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kina nani walio katika hatari ya kupaya ugonjwa huu?

Kwa sasa kukisiwa kwamba uwezekano wa Coronavirus kusababisha kifo ni asilimia sio kwa kila mmoja

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanasema masharti yaliyowekwa ya kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona yanawaweka hatarini sana watu waliobadili jinsia zao.

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19

Chini ya asilimia 10 ya nchi zina sheria zinazosaidia kuhakikisha ujumuishaji kamili katika elimu, kwa mujibu wa Ripoti ya Dunia ya Ufuatiliaji wa Elimu 2020: Ujumuishaji na Elimu – Tukisema wote, Basi ni Wote, kutoka UNESCO.
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani