Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgongano huu wa mihimili ni hatari

Wiki hii tumeshuhudia mgongano wa mihimili mitatu ya nchi uliotokana na kitendo cha Jeshi la Polisi kumpeleka mahakamani mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wa chama hicho kwa madai ya kupanga njama za kukusanyika na baadaye kukusanyika na kufanya mkutano wa hadhara bila ya kibali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Huu si Muungano bali mgongano

HAKUNA ubishi kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa zaidi ya miaka 50 umekuwa ukikumbwa na misukosuko kila wakati. Hivyo, hali hii hutukumbusha kuwa yanahitajika marekebisho katika baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huu ni utatu hatari TPA

MSHITUKO:  Si siri kuwa Watanzania wote wazalendo tulipata mshituko mkubwa Januari 2 mwaka huu wa  2014 kutokana na utatu batili wa Waziri anayeheshimika sana, Harrison Mwakyembe, Kaimu Mkurugenzi wa Bandari,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ni kina nani walio katika hatari ya kupaya ugonjwa huu?

Kwa sasa kukisiwa kwamba uwezekano wa Coronavirus kusababisha kifo ni asilimia sio kwa kila mmoja

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanasema masharti yaliyowekwa ya kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona yanawaweka hatarini sana watu waliobadili jinsia zao.

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19

Chini ya asilimia 10 ya nchi zina sheria zinazosaidia kuhakikisha ujumuishaji kamili katika elimu, kwa mujibu wa Ripoti ya Dunia ya Ufuatiliaji wa Elimu 2020: Ujumuishaji na Elimu – Tukisema wote, Basi ni Wote, kutoka UNESCO.
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wanapopoteza imani na mihimili ya dola — (2)

Jumapili iliyopita niligusia dhana ya wananchi kupoteza imani na mihimili ya dola. Niliigusa mihimili ya Mahakama na Bunge. Nilianza kueleza kuhusu Bunge na niliahidi kuendelea katika makala ya leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kifanyike nini mihimili ya dola inapokinzana?

Tumeshuhudia kwa mara ya kwanza tangu nchi yetu ipate uhuru mwaka 1961, mihimili ya dola, yaani Mahakama, Bunge na Serikali ikigongana na kukinzana katika suala muhimu la kitaifa, huku ikiibua mashaka kuhusu tafsiri ya dhana ya mgawanyo wa madaraka miongoni mwa mihimili hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani