Huu si Muungano bali mgongano
HAKUNA ubishi kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliodumu kwa zaidi ya miaka 50 umekuwa ukikumbwa na misukosuko kila wakati. Hivyo, hali hii hutukumbusha kuwa yanahitajika marekebisho katika baadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Mgongano huu wa mihimili ni hatari
11 years ago
Mwananchi30 Apr
DIRA: Muungano huu sawa, lakini ujibu maswali 7 ya Jaji Warioba
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
LIVE!! Rais Magufuli anahutubia Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania muda huu Dodoma!
Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akihutubia Bunge muda huu kutoka Bungeni Dodoma.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk. John Magufuli anaelezea kuwa mambo yote vipolo atayatatua na kuifaya Tanzania kufikia malengo yake.
Miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na suala la Katiba mpya ambayo amekili kuachiwa kiporo hivyo ataifanyia kazi ilikuikamilisha.
Suala la Muungano anaahidi kulifanyia kazi na kulitatua.
Awali:
Baada ya Rais kuingia Bungeni...
10 years ago
Habarileo21 Aug
Sheria kudhibiti mgongano wa maslahi
MAPENDEKEZO ya Sheria mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi, miongoni mwa viongozi wa umma, yanatarajiwa kudhibiti viongozi wa umma kushiriki au kuendesha harambee na kutoa zawadi kubwa kubwa.
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Mkapa: Mgongano wa masilahi utazamwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI-0GF0oeoxiBsDrlKE6MK3Zv75Uo8COm8DotBp658HD*Ov1YF6PqugA6N5O2gxJ6pP-94EpZbKjYY*Nl98c3IY/CHENGE.jpg?width=650)
BUSARA ZITUEPUSHE MGONGANO BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Habarileo01 Mar
Chenge ataka semina maeneo yenye hoja zenye mgongano
KUTOKANA na mgongano uliojitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakati wa kujadili Rasimu ya Kanuni, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge amependekeza kabla ya kujadili Rasimu ya Katiba, wajumbe wapewe semina kujadili maeneo yenye hoja zenye mgongano.
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Rais ajiuzulu ni baada ya kikao kizito Dodoma kufuatia mgongano wa kimaslai ndani ya Chama
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Rais wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (Tanzania Red Cross Society-TRCS), Dk. George Nangale (pichani), kwa habari zilizotufikia chumba cha Habari cha Mo dewji blog ni kuwa amejiuzulu nafasi yake hiyo.
Habari hizo zilibainisha kuwa, Dk. Nangale tayari amewasilisha barua rasmi ya kujiuzulu huku akikabidhi vitu muhimu ikiwemo funguo ya gari ambayo alikuwa akiitumia kama Rais ama Mwenyekiti wa Chama, katika makao makuu ya Red Cross, Mikocheni Jijini Dar...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano