Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chenge ataka semina maeneo yenye hoja zenye mgongano

 Andrew ChengeKUTOKANA na mgongano uliojitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakati wa kujadili Rasimu ya Kanuni, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge amependekeza kabla ya kujadili Rasimu ya Katiba, wajumbe wapewe semina kujadili maeneo yenye hoja zenye mgongano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LISTI YENYE KLABU ZENYE THAMANI KUBWA ULAYA, BAYERN KINARA, MADRID WANAFUATIA

MABADILIKO KATIKA LISTI HII NI KWAMBA MAN UNITED IMEPOROMOKA HADI NAFASI YA TATU IKITOKEA KILELENI, BAYERN IMEPANDA NA MADRID IMEBAKI ILIPO. LAKINI MAN CITY IMEONGEZA THAMANI NA KUINGIA TANO BORA WAKATI ENGLAND IMEENDELEA KUNG'ARA KWA KUWA NA TIMU 2 KWENYE TOP 5 NA TIMU TANO KWENYE TOP 10, INAFUATIWA NA HISPANIA NA UJERUMANI, KILA MOJA INA TIMU 2 NA UFARANSA YA MWISHO KWA KUWA NA TIMU MOJA. ITALIA AMBAO WALING'ARAZA ZAIDI MIAKA...

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuwekeza maeneo yenye migodi

Wamiliki wa migodi na wachimbaji wa madini ya Tanzanite, mji wa Mirerani mkoani Manyara, wametakiwa kuwekeza wilayani hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maeneo yenye Mnyauko Kagera kuwekwa karantini

MKOA wa Kagera umetangaza kuyaweka chini ya karantini maeneo ya mkoa huo yaliyoathirika na yatakayoathirika na ugonjwa wa migomba (Mnyauko Backeria). Mkaguzi wa Mimea na Mazao Mkoa wa Kagera, Kagombora...

 

10 years ago

Habarileo

Chenge ataka ushahidi ufisadi akaunti ya Escrow, ATCL

Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew ChengeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro

 Mhe. Peter Kallaghe, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza akizungumza na  Mhe. Mark Simmonds, Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro unaoendelea Jijini London, Uingereza.  Kwenye sherehe za ufunguzi, waandaaji wa mkutano huo walisifia nchi zinazochangia kuleta amani kwenye maeneo yenye migogoro duniani . Aidha walisifu hatua ya Tanzania kuwa miongoni mwa...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AZURU MAENEO YENYE MAWE NDANI YA IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO

 Rais Dk. John Magufuli akiwa kwenye miongoni mwa mawe yaliypo ndani ya Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, alipoamua kuzuru maeneo yenye mawe hayo, leo. Nyingine ni picha tofauti tofauti akiwa kwenye maeneo hayo ya mawe. (Picha zote na Ikulu



 

11 years ago

Michuzi

busara, amani na nguzu za hoja zatawala semina ya kujadili rasimu ya kanuni bungeni dodoma leo

 Mjumbe Mhe Betty Machangu akiuliza swali wakati wa mjadala wa rasimu ya kanuni zitazotumika katika Bunge Maalum la katiba leo mjini Dodoma. Hadi sasa busara imetawala katika mjadala ambao umeendelea kwa utulivu  Mjumbe Mhe. Hezekiah Wenje akihoji jambo wakati wa mjadala huo  Mjumbe Mhe Beatrice Shelukindo akichangia mjadala huo  Mjumbe wa Kamati ya kanuni Mhe Tundu Lissu akitoa ufafanuzi na kujibu hoja za wajumbe Mjumbe Mhe. Hamad Rashid akichangia mjadala. Picha na Deusdedit Moshi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kingunge ataka katiba yenye haki za kiuchumi

MWANASIASA nguli nchini, Kingunge Ngombale-Mwirlu ameshauri kuandikwe katiba yenye haki za kiuchumi ili kuleta maendeleo ya wananchi. Kingunge alieleza hayo wakati akichangia kwenye semina ya wajumbe wa bunge hilo juu ya uzoefu wa Kenya kwenye kupata katiba mpya ulioelezwa na Mwanasheria Mkuu mstaafu wa nchi hiyo aliyekaa madarakani kwa miaka 21 na kushiriki kwa karibu katika uandishi wa katiba mpya, Amos Wako.

 

10 years ago

Habarileo

JK ataka mafunzo yenye ufanisi kukabili rushwa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), kuanzisha mafunzo yatakayotolewa kwa watu maalumu kwa ajili ya kuwajengea uwezo wa namna ya kupambana na rushwa nchini kwa ufanisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani