Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maeneo yenye Mnyauko Kagera kuwekwa karantini

MKOA wa Kagera umetangaza kuyaweka chini ya karantini maeneo ya mkoa huo yaliyoathirika na yatakayoathirika na ugonjwa wa migomba (Mnyauko Backeria). Mkaguzi wa Mimea na Mazao Mkoa wa Kagera, Kagombora...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Wachunguzi wa kimataifa kuwekwa karantini

Huku ikiwa imesalia siku 10 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Burundi, serikali imesema kwamba wachunguzi wote wa uchaguzi utakaofanyika tarehe 20 Mei 2020 watalazimika kufuata maagizo ya kukabiliana na virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

WASAFIRI WATAKAOPITA MPAKA WA TUNDUMA KUWEKWA KARANTINI SIKU 14


Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Songwe imeanza utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwataka wasafiri waliotoka katika nchi zenye maambukizi ya Virusi vya Corona kukaa karantini kwa muda wa siku 14 kwa gharama zao.

Mapema leo wajumbe wa Kamati hiyo wametembelea eneo la mpaka wa Tanzania na Zambia uliopo eneo la Tunduma Mkoani Songwe ili kutathmini utayari wa kuanza zoezi la kuwaweka eneo tengefu yaani karantini wasafiri wote...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mkenya aelezea hofu ya kuwekwa karantini

Wakenya wanahofia zaidi kuwekwa karantini kuliko ya kuzuia corona na kuzifananisha na jela.

 

11 years ago

Mwananchi

Watakiwa kuwekeza maeneo yenye migodi

Wamiliki wa migodi na wachimbaji wa madini ya Tanzanite, mji wa Mirerani mkoani Manyara, wametakiwa kuwekeza wilayani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Chenge ataka semina maeneo yenye hoja zenye mgongano

 Andrew ChengeKUTOKANA na mgongano uliojitokeza miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakati wa kujadili Rasimu ya Kanuni, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge amependekeza kabla ya kujadili Rasimu ya Katiba, wajumbe wapewe semina kujadili maeneo yenye hoja zenye mgongano.

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal ashiriki ibada ya kuwekwa wakfu Askofu, Dkt. Abednego Keshomshahara wa kanisa la KKKT mkoani Kagera

01

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa. (Picha na OMR).

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AZURU MAENEO YENYE MAWE NDANI YA IKULU YA CHAMWINO JIJINI DODOMA, LEO

 Rais Dk. John Magufuli akiwa kwenye miongoni mwa mawe yaliypo ndani ya Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, alipoamua kuzuru maeneo yenye mawe hayo, leo. Nyingine ni picha tofauti tofauti akiwa kwenye maeneo hayo ya mawe. (Picha zote na Ikulu



 

11 years ago

Michuzi

Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro

 Mhe. Peter Kallaghe, Balozi wa Tanzania nchini Uingereza akizungumza na  Mhe. Mark Simmonds, Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika kabla ya ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa kuhusu Ukomeshwaji wa Udhalilishaji wa Kijinsia kwenye Maeneo yenye Migogoro unaoendelea Jijini London, Uingereza.  Kwenye sherehe za ufunguzi, waandaaji wa mkutano huo walisifia nchi zinazochangia kuleta amani kwenye maeneo yenye migogoro duniani . Aidha walisifu hatua ya Tanzania kuwa miongoni mwa...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI IBADA YA KUWEKWA WAKFU ASKOFU, DKT. ABEDNEGO KESHOMSHAHARA WA KANISA LA KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MAGHARIBI MKOANI KAGERA.

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akimkpongeza Askofu Dkt. Abednego Keshmshahara wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, Mkoani Kagera (kushoto) wakati wa sherehe za kuwekwa Wakfu zilizofanyika kwenye Kanisa la KKKT mjini Bukoba, mkoani Kagera leo Okt 18, 2015. Katikati ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Alex Malasusa.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani